Line ya Tigo Pesa Inauzwa bei chee

Line ya Tigo Pesa Inauzwa bei chee

Hedex

Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
26
Reaction score
11
Rejea title ya uzi huu, ninayo line ya tigo pesa naiuza kwa bei ya hasara Tsh 250,000 tu. Sababu ya kuiuza nimepata kibarua cha kudumu na nimekosa msimamizi wa kusimamia biashara. Hivyo inakaa tu bila matumizi. Changamkia offer hii. Kwa mawasiliano zaidi nifuate PM nipo DSM.
 
Back
Top Bottom