Habari wakuu, nimenunua line ya Airtel nakuitumia kwenye simu yangi aina ya Sony Experia Z1 kila napowasha data GPS inajiwasha nikijaribu kuizima baada ya sekunde chache inajiwasha tena.
Nimejaribu kutrace Kama ukuna apps zinazo access GPS na kukuta hamna na kugundua ni mtandao wa Airtel unaosababisha hiyo hali kwani nikiweka line ya voda au tigo hilo tatizo linakuwa halipo msaada wenu nifanye niwezekutumia line ya Airtel bila kukumbana na tatizo ili
Nimejaribu kutrace Kama ukuna apps zinazo access GPS na kukuta hamna na kugundua ni mtandao wa Airtel unaosababisha hiyo hali kwani nikiweka line ya voda au tigo hilo tatizo linakuwa halipo msaada wenu nifanye niwezekutumia line ya Airtel bila kukumbana na tatizo ili