Benz Petrol
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 504
- 196
Rais John Pombe Magufuli amemuagiza RC Lindi Godfrey Zambi kumnyang’anya pasi ya kusafiria mkandarasi wa mradi wa maji wa Ngapa hadi atakapomaliza ujenzi huo.
Pia Rais Magufuli ampa Waziri wa Maji Gerson Lwenge miezi 4 kuhakikisha maji yanapatikana katika mradi wa maji wa Ng’apa mkoani Lindi.
Update: Video clip
Pia Rais Magufuli ampa Waziri wa Maji Gerson Lwenge miezi 4 kuhakikisha maji yanapatikana katika mradi wa maji wa Ng’apa mkoani Lindi.
Update: Video clip