Lindi: Akata sehemu zake za siri ili amtumikie Mungu

kijana mmoja wa kiume wa huko Kitangari mwenye umri wa miaka 33 amejikata uume pamoja na kidole (cha shahada) ili kumuondolea mambo mengi na kumtumikia Mungu.

HABARI KAMILI ITAZAME VIDEO.View attachment 1128029View attachment 1128030
Yule jamaa ni mgonjwa wa akili,angekua mzima angekua japo anaugulia maumivu ya kujikata ila wala anaongea akiwa comfortable kabisa.Hiyo siyo hali ya kawaida.
 
Inasikitisha sana...

Vile se.x ilivyokua nzuri, bindamu unaanzaje kujikata sehemu nyeti...

Mikoani kuna matatizo sana...


Cc: mahondaw
 
Dah... Unakata dyudyu la yuyu... Inamaana kale kastarehe ndo basi..

Stress reliever..

Reproduction organ..

Unique and comfortable pleasure

Daaah... Hana akili
 
Back
Top Bottom