Fede Masolwa
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 528
- 123
Wapi yametokea hayo? Visigwa,msolwa,chalinze au?
nilidhan king'amuzi changu kibovu kumbe midege ya makamanda
wakuu kuna lindege la jeshi limepita muda simrefu nadhani kuelekea taifa sasa, limeua mtu moja aliyekuwa mgonjwa kiasi na tv zote mtaani kwangu kukata kabisa ata channel moja hakuna, limepita kwa mshituko mkubwa sanaaaa kwani yasipite baharini huko.
ni dar tena sijui lilikuwa linatokea lugalo, ilipita ya kwanza vizur tu, iliyofata sasa imepita kwa mshituko na mtetemo mkubwa sanaanadhan wagonjwa weng wa moyo watakuwa wameshituka... Sijui kwanini.
na mlivyokuwa mnashabikia vita na Rwanda..kumbe zikipita tu mnakufa kwa presha..