stellahthatcher
Senior Member
- Oct 14, 2015
- 168
- 165
Habari JF,
Secure SmS - Faragha, ni mfumo wa simu kwajili ya kupokea na kutuma meseji bila kuwa na uhitaji wa kutumia Internet.
Hivi sasa kuna uwezekano wa kusomwa meseji za wateja katika mitandao tofauti bila ridhaa yao au bila agizo la kimahakama, Secure SmS haita muwezesha mtu yeyote kujua nini ulicho muandikia rafiki au jamaa yako sababu kila ujumbe utalindwa kwa kuvurugwa (Encryption).
Ni haki ya Kila mteja kuwasiliana kwa kugha yeyote ile atakayo chagua Kiswahili, kisukuma nk, sasa tumia lugha hii ya kielectronikia iliyo buniwa kulinda ujumbe unaoutuma mpaka utakapo mfikia mpokeaji (End-to-End Encryption) sio kuvunja sheria.
Tofauti kubwa ya kiusalama ya app hii tofauti na nyingine ni kuwa aihitaji kuwa na Internet ili uweze kuficha siri ya unachokituma, lugha iliyotumika sio rasmi hivyo ni vigumu kwa wataalamu wengine kung’amua aina ya lugha iliyo tumika (Non standard encryption).
Secure SmS ina lugha tofauti tano, mtumiaji na mpokeaji wataamua wenyewe ni muda gani watumie lugha ipi kwaajili ya kupoteza wote wanaofatilia mawasiliano yao. Ni haki yako kutuma unachojisikia ili mradi hakimdhuru mwengine au kuvunja sheria ya nchi.
Secure SmS pia inaweza kulinda ndoa kwa kuweka privacy baina wanandoa kila mmoja awe na uhuru wa kuwasiliana (Hide messages). Tunahaidi kuboresha kila siku mfumo huu na kufanya mfumo salama wa mawasiliano kwa jamii duniani.
Mfumo huu unauzwa kwa garama ya Tsh.2,000 ila kama ukinunua kwa kutumia Celebrity ID utapata mfumo huu kwa 1,500. Na gharama hizi ni kwa kipindi cha mwaka mzima. Ikitokea ume uninstall application bahati mbaya hutolipia tena mfumo utaingia moja kwa moja bila kuhitaji ufanye malipo yeyote.
Malipo yote yatafanyika kwa Mpesa, Tigo Pesa na Airtel money. Pia unaweza lipiwa na rafiki kwa mitandao hiyo download app kufuata maelekezo jinsi ya kulipa. Pia tembelea page yetu ya Instagram @securesms kwa maswali zaidi.
city Dirham Rodcones bato MANCNOO @multiphill90 GEORGE @Dalalimwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz papaa AzontoMsemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack @GoodluckMchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai @Rassamnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 @Bableeedawa yenu The Certified DON SINYORI mij adden bwii ONTARIO Kobe The Vein @Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome @MpatanishiMKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo @shedede @kamtu33SteveMollel Ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 Ngushi ANATORY antonyukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa @shoo61BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY @wa stendiFaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise @Jabmankalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb witnessj Gide MK Mmanyema mgogoone Mnongane Mandingo koncho77 @afsangaboru Paradoxer Heavy Metal KIMBURU 06 Raaj kichekoh ngumba njeche kikale DullahTza Goodluck Mshana julius Darcy Denis @Kasekenya mashonga kitalembwa Khaleed Shaban middle east SirChief jiwe jeusi Mkambarani @mansakankanmusagambada ynwa ney kush
Secure SmS - Faragha, ni mfumo wa simu kwajili ya kupokea na kutuma meseji bila kuwa na uhitaji wa kutumia Internet.
Hivi sasa kuna uwezekano wa kusomwa meseji za wateja katika mitandao tofauti bila ridhaa yao au bila agizo la kimahakama, Secure SmS haita muwezesha mtu yeyote kujua nini ulicho muandikia rafiki au jamaa yako sababu kila ujumbe utalindwa kwa kuvurugwa (Encryption).
Ni haki ya Kila mteja kuwasiliana kwa kugha yeyote ile atakayo chagua Kiswahili, kisukuma nk, sasa tumia lugha hii ya kielectronikia iliyo buniwa kulinda ujumbe unaoutuma mpaka utakapo mfikia mpokeaji (End-to-End Encryption) sio kuvunja sheria.
Tofauti kubwa ya kiusalama ya app hii tofauti na nyingine ni kuwa aihitaji kuwa na Internet ili uweze kuficha siri ya unachokituma, lugha iliyotumika sio rasmi hivyo ni vigumu kwa wataalamu wengine kung’amua aina ya lugha iliyo tumika (Non standard encryption).
Secure SmS ina lugha tofauti tano, mtumiaji na mpokeaji wataamua wenyewe ni muda gani watumie lugha ipi kwaajili ya kupoteza wote wanaofatilia mawasiliano yao. Ni haki yako kutuma unachojisikia ili mradi hakimdhuru mwengine au kuvunja sheria ya nchi.
Secure SmS pia inaweza kulinda ndoa kwa kuweka privacy baina wanandoa kila mmoja awe na uhuru wa kuwasiliana (Hide messages). Tunahaidi kuboresha kila siku mfumo huu na kufanya mfumo salama wa mawasiliano kwa jamii duniani.
Mfumo huu unauzwa kwa garama ya Tsh.2,000 ila kama ukinunua kwa kutumia Celebrity ID utapata mfumo huu kwa 1,500. Na gharama hizi ni kwa kipindi cha mwaka mzima. Ikitokea ume uninstall application bahati mbaya hutolipia tena mfumo utaingia moja kwa moja bila kuhitaji ufanye malipo yeyote.
Malipo yote yatafanyika kwa Mpesa, Tigo Pesa na Airtel money. Pia unaweza lipiwa na rafiki kwa mitandao hiyo download app kufuata maelekezo jinsi ya kulipa. Pia tembelea page yetu ya Instagram @securesms kwa maswali zaidi.
city Dirham Rodcones bato MANCNOO @multiphill90 GEORGE @Dalalimwanamalundi90 MwaFreeca Roram Ta-kibombo troublemaker mambo KOMUGISHA calabocatz papaa AzontoMsemachochote Mdomo bakuli tizo1 option dikembe iL Buono fakalava ABDUL KAREEM @Gobe Justine Marack @GoodluckMchika MR UNINFORMED darcity nkasoukumu nG'aMBu thatonegAl kabanga MPARE KIBOGOYO Edward Sambai @Rassamnonje srinavas last king of uscoch proto cute Kennedy krava Rais2020 kbosho Mzee wa BsN sam2000 fuma 999 @Bableeedawa yenu The Certified DON SINYORI mij adden bwii ONTARIO Kobe The Vein @Mondray jaxonjaxon successor mzee wa liver sawariya Sitaki ukuda Domhome @MpatanishiMKANDAHARI mtugani wa wapi huyo wealthier cluecell Toyota escudo mgumu2 troublemaker Linamo @shedede @kamtu33SteveMollel Ngushi Donald stewart Mshuza2 Glycel mnonje Ochuanilove SingleFather Santi DEOD 360 Ngushi ANATORY antonyukhuty chris van chicha auxillius Goma Son Hubeb pes KING DUBU VILLAIN mwayena donbeny Aleppo JipuKubwa @shoo61BOMBAY John mungo Nyakageni bato Dogo 1 sufra chamlungu painscott wegman Bravo Engliash MOSELBAY @wa stendiFaizaFoxy bigmind cadabraa Internal Kelvin mwalukas mnonje Kelvin X Somoche Wgr30 Miiku Poise @Jabmankalamuyamwalimu BOMBAY the say juxhb witnessj Gide MK Mmanyema mgogoone Mnongane Mandingo koncho77 @afsangaboru Paradoxer Heavy Metal KIMBURU 06 Raaj kichekoh ngumba njeche kikale DullahTza Goodluck Mshana julius Darcy Denis @Kasekenya mashonga kitalembwa Khaleed Shaban middle east SirChief jiwe jeusi Mkambarani @mansakankanmusagambada ynwa ney kush