Humphrey Humphrey
Member
- Jul 13, 2019
- 51
- 93
Rejea hiyo Subject hapo juu. Sina nguvu yakununua vipya, hivyo nataka used chenye afya. Natambua na kuheshimu Madalali ila kwenye hili ninahitaji wamiliki.
Juzi dalali kaniambia Carry mil3.7. Nikachukua namba za usajili nikaomba Query zakikodi au Customs (If any), huko nikapata namba ya mmiliki, kumuuliza bei akasema mil3.0 na maongezi yapo (Hapa madalali wataanza kuficha plates # ili tusiwapate wamiliki directly). Sikuweza kuclose hii deal kwa sababu nyingine
Kwanini nataka Guta au Carry
Niliwahi kuleta uzi wa Nataka kuiona nguvu ya milioni 2 kwenye biashara mpya.
Ziliwekwa shauri nyingi za faida ingawa mawazo HASI hayakukosekana(Siunajua tena watanzania)
Sasa iko hivi: Mrejesho
Nilifungua Car Wash maeneo flani, nikapata Changamoto kadhaa, nikafunga. Tar 8 Dec, 2020 nikafungua nyingine, mahali pengine kabisa.
Sitaki kuweka specifics nyingi lakini nilihamia mahali amboko maji ni ya chumvi kali sana, so nalazimika kununua dumu sh 400 kwa maji ninayotumia. Mtu anaeleta maji (kwa guta), namlipa kwa bili.
Baada yakufanya kazi siku 6 za mwanzo nilikua nimeaccumulate 121,000/=, bili ya maji ilikua 102,000/= (Faida 19,000/=)
Mwendo ndo umekua huo wakumtajirisha mleta maji.
Hata jana niliamua kuhesabu hela niliyonayo tangu nilipolipa bili yamwisho, nimekuta nimetumia maji ya sh 56,400/=, faida ikiwa sh 11,600/=
wanaotuuzia maji wananunua sh 50/= mpaka 30/= kwa dumu.
Nafahamu Rizki ni kugawana ila ninahitaji kupunguza gharama za maji.
Hivyo: Ninahitaji usafiri wakuweza kufata maji kwa urahisi
Simu: 0789361508
Juzi dalali kaniambia Carry mil3.7. Nikachukua namba za usajili nikaomba Query zakikodi au Customs (If any), huko nikapata namba ya mmiliki, kumuuliza bei akasema mil3.0 na maongezi yapo (Hapa madalali wataanza kuficha plates # ili tusiwapate wamiliki directly). Sikuweza kuclose hii deal kwa sababu nyingine
Kwanini nataka Guta au Carry
Niliwahi kuleta uzi wa Nataka kuiona nguvu ya milioni 2 kwenye biashara mpya.
Ziliwekwa shauri nyingi za faida ingawa mawazo HASI hayakukosekana(Siunajua tena watanzania)
Sasa iko hivi: Mrejesho
Nilifungua Car Wash maeneo flani, nikapata Changamoto kadhaa, nikafunga. Tar 8 Dec, 2020 nikafungua nyingine, mahali pengine kabisa.
Sitaki kuweka specifics nyingi lakini nilihamia mahali amboko maji ni ya chumvi kali sana, so nalazimika kununua dumu sh 400 kwa maji ninayotumia. Mtu anaeleta maji (kwa guta), namlipa kwa bili.
Baada yakufanya kazi siku 6 za mwanzo nilikua nimeaccumulate 121,000/=, bili ya maji ilikua 102,000/= (Faida 19,000/=)
Mwendo ndo umekua huo wakumtajirisha mleta maji.
Hata jana niliamua kuhesabu hela niliyonayo tangu nilipolipa bili yamwisho, nimekuta nimetumia maji ya sh 56,400/=, faida ikiwa sh 11,600/=
wanaotuuzia maji wananunua sh 50/= mpaka 30/= kwa dumu.
Nafahamu Rizki ni kugawana ila ninahitaji kupunguza gharama za maji.
Hivyo: Ninahitaji usafiri wakuweza kufata maji kwa urahisi
Simu: 0789361508