LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,899
- 37,696
Habari za kusikitisha zilizo nifikia hivi punde, zinasema Msanii Linah kutoka THT naye ameanza kutumia cocaine. Haijajulikana ni sababu gani haswa ambayo imemfanya mdada huyu kufikia uamuzi huo mgumu kabisa katika maisha ya mwanadamu, ingawa mtoa habari anasema, sababu zinafanana na zile za Ngwea ( R.I.P ), i.e Linah amedhulumiwa/anadhulumiwa pesa nyingi na Ruge, so kujifariji, ameamua kuanza kutumia dawa za kulevya. Kama hbari hii ni kweli itakuwa ni habari mbaya sana.