interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,410
View attachment 1258841
ina maana lil wayne anatudanganya kuhusiana na afya yake?
hii picha ameipost kupitia account yake ya twitter mnamo tarehe 12 october.
=========================================
View attachment 1258845
View attachment 1258844
tarehe 30 september.
tumuamini lil wayne mwenyewe au huyu binti aliyeweka hizi picha za lil weezy aliyechakaa?
Na mimi nafahamu hivyo na pili Wabongo wafahamu kuwa hao watu wana bima maalumu (kubwa) za kutibiwa hivyo wasifikili atapitisha bakuri kuchangiwa. Mwisho wafahamu kila mtu aliyepo hapa duniani ataugua au atakufa na kuugua sio kifo. Walimsema Lowassa atakufa na Mtikila akatangulia. So pambaneni na hali zenuUnapisema zimeanza kumpa shida unamaana tattoo ndio chanzo cha hayo yote? Mara ya mwisho nlisikia alikua anaanguka kama kifafa hivi na kupelekea kuahirishwa kwa shoo kadhaa
Ushahidi wowote ktk hili will be appreciatedTattoo ndiyo chanzo cha hayo yote maana ilimtafuna sana kwa kansa ya damu hadi alienda Los Angeles USA kutibiwa lakini bado hali yake ilikuwa ni tete sana.
NB:
Los Angeles ni sehemu pekee USA inayoongoza kwa gharama za juu sana kwa huduma na manunuzi kifedha sawa na Arusha kwa hapa TZ.
Mimi mara ya kwanza kuziona nilijua ni Photoshop tu!View attachment 1258841
ina maana lil wayne anatudanganya kuhusiana na afya yake?
hii picha ameipost kupitia account yake ya twitter mnamo tarehe 12 october.
=========================================
View attachment 1258845
View attachment 1258844
tarehe 30 september.
tumuamini lil wayne mwenyewe au huyu binti aliyeweka hizi picha za lil weezy aliyechakaa?
Google hata sasa hivi kuwa chanzo cha Lil Wayne kwenda kalazwa katika hospitali ya Los Angeles ni nini kisha unishukuru baadaye.Ushahidi wowote ktk hili will be appreciated
Ana ngoma mbona muda tu. Na aliweka wazi.Apime Ngoma Kwanza.
Jamaa alkua anapenda sana pussy.
mukubwa lil wayne haiitaji umfatilie sijui tangu azaliwa yule ni mtu maarufu lolote la kumuhusu ni habari tungesha fahamu mkuumkuu umeanza kumfatilia lini lili wayne??
hahaha acha porojo mkuu, mwaka gani aliweka wazi. zilipo vuka kawaka ilikuwa 2014-15 na akajibu 'dont playing with me ya mammy got AIDS'Ana ngoma mbona muda tu. Na aliweka wazi.
wanafaidika nini na huo upuuzi wanao ufanya hao wazungu wakoWazungu noma sana wanakujaza mihela baadae wanaanza kuzichukua kidogo kidogo hadi mufilisi [emoji1787][emoji1787]
Fake news...wayne stll healthly wabongo tupunguze kujfanya tunawajua sn watuKwa wanao mfahamu uyu Msanii ni Moja kati ya Wasanii walio chora tatoo nyingi sana mwilini Mwake haya sasa zimeanza kumpa shida anatia hurumu Aise acheni kabisaView attachment 1258810
ndio maana nikasema i heard maan yake nilisikia . Kwa mtu mkubwa haimaanishi kwamba ndio kila kitu chako kinafahamika mzee kuna watu wengi ni wakubwa wasanii wa mbele wana mambo yao na haya julikanimukubwa lil wayne haiitaji umfatilie sijui tangu azaliwa yule ni mtu maarufu lolote la kumuhusu ni habari tungesha fahamu mkuu
porojo, awe ve+ ujue ww wa tz na ibaki kama siri marekani na ulaya isifahamike
alien sio watu ,ni viumbe vingine kbsAmekuwa kama aliens, wale watu wa kusadikika kutoka sayari za mbali
Hiyo ni photoshop wala usiumize kichwaView attachment 1258841
ina maana lil wayne anatudanganya kuhusiana na afya yake?
hii picha ameipost kupitia account yake ya twitter mnamo tarehe 12 october.
=========================================
View attachment 1258845
View attachment 1258844
tarehe 30 september.
tumuamini lil wayne mwenyewe au huyu binti aliyeweka hizi picha za lil weezy aliyechakaa?
Inamaana ni kweli huyo ni Lily wine mbona hata mi nadhani ni fotoshopMimi mara ya kwanza kuziona nilijua ni Photoshop tu!