Lil Ommy atambulishwa rasmi Wasafi FM

Momo mbona yuko powa.Hata kigugumizi chache sio kikubwa na ana sauti Unique.Mbona kuna watu wanawapenda wale wa Efm wenye masauti ya kukwaruza wale wanaoendesha kipindi cha singeli nadhani ni Fido na mwenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fido na Samio Love ni singeli's expert singeli inataka watu wa aina ile.
Yani ukitengeneza list ya top singeli presenters
1. Fido
2. Samio love
3. Fido
4. Samio love
5. Massawe mtata (kicheko)
6. Fido
7. Samio love
8. Kicheko
9. Kicheko
10. Kicheko.

Ndugu Momo hana chochote ukitaka kujua hana chochote msikilize ambangile na kawambwa
 
Kwanza ameenda kwenye Redio ambayo ina ukuta mnene wa kufanya kazi na wasanii wote usitegemee wasaniii mahasimu na diamond mfano Ali kiba,Mavoko na Harmonize kuhojiwa pale so itakua ngumu kubalance tofauti na Times kulikua hakuna kubanwa alikua huru sana hivyo kipindi nadhani kitachuja.

Pili kwa mimi nimuonavyo Lily Ommy kwa ukubwa wake alipaswa awe kama Millard ayo awe na platmform yake kubwa tu na kusingekua na sababu ya kuhama Times..najiuliza je ataweza kupost clip zake kwenye channel yake au ndo anaenda kuua keria yake kama ilivyo kwa jonijo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uendeshaji wa Menejiment za kampuni unaujua kwanza,Usione umaarufu wa Diamond ukajua hela zake ndio zitatosha kuendesha kampuni,
Kwa uelewa wako wewe unadhani mtu anakubari kufanya biashara ya hasara?
Media zinaingiza mkwanja kwa njia tofauti tofauti sio upande wamatangazo tu
 
Mzee hakuna media inashindana na media nyenzake alafu kufananisha hata kwa uchache Clouds na Wasafi ni kosa kubwa.

Wasafi inapatikana pwani tu, Clouds iko all over the country ina umri wa kijana ambaye anatia mimba kabisa, ina watu walioko kwenye hiyo tasnia miaka dahari.
Alafu vipindi huwa vinaigwa tu hakuna jipya, hiyo singeli unayoisikia EFM miaka ya nyuma ilikuwa ndio mambo ya Times fm jiulize kwanini waliacha.

Kuna radio marekani zinasikika mji mmoja mmoja vipindi vyake ni vilevile and nobody is complaining kila mtu anatafuta listeners kivyake
Kuhusiana ku copy sio sawa .kwa sababu vipindi haviwezi tofautiana Sana .hata radio za nje labda Kenya na sehemu zingine misingi ni ile ile, ni sawa unaposema rnb au hip hop misingi ni ile ile .hata uimbe VP
 
Kwanza ameenda kwenye Redio ambayo ina ukuta mnene wa kufanya kazi na wasanii wote usitegemee wasaniii mahasimu na diamond mfano Ali kiba,Mavoko na Harmonize kuhojiwa pale so itakua ngumu kubalance tofauti na Times kulikua hakuna kubanwa alikua huru sana hivyo kipindi nadhani kitachuja.

Pili kwa mimi nimuonavyo Lily Ommy kwa ukubwa wake alipaswa awe kama Millard ayo awe na platmform yake kubwa tu na kusingekua na sababu ya kuhama Times..najiuliza je ataweza kupost clip zake kwenye channel yake au ndo anaenda kuua keria yake kama ilivyo kwa jonijo .

Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza kukaa pale wasafi na pia akatengeneza platform ya kwake.kwani kwa Millard ayo ipoje
 
Kuhusiana ku copy sio sawa .kwa sababu vipindi haviwezi tofautiana Sana .hata radio za nje labda Kenya na sehemu zingine misingi ni ile ile, ni sawa unaposema rnb au hip hop misingi ni ile ile .hata uimbe VP
Na hichi ndicho nilichokuwa nakimaanisha.
Kisa Star tv wanatangaza taarifa ya habari hatuwezi kusema wamewaiga ITV
 
Kwanza ameenda kwenye Redio ambayo ina ukuta mnene wa kufanya kazi na wasanii wote usitegemee wasaniii mahasimu na diamond mfano Ali kiba,Mavoko na Harmonize kuhojiwa pale so itakua ngumu kubalance tofauti na Times kulikua hakuna kubanwa alikua huru sana hivyo kipindi nadhani kitachuja.

Pili kwa mimi nimuonavyo Lily Ommy kwa ukubwa wake alipaswa awe kama Millard ayo awe na platmform yake kubwa tu na kusingekua na sababu ya kuhama Times..najiuliza je ataweza kupost clip zake kwenye channel yake au ndo anaenda kuua keria yake kama ilivyo kwa jonijo .

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama ataweza kuruhusiwa Kupost Kwenye chanel yake, nasikia anakuja Media online kama Ilivyo kwa Millard na akina Dozen, nadhani uko ndo atakua anafanya interview na akina Kiba
 
Mkuu mkuu pole sana.Una very poor reasoning.Ungeanza kwa kuorodhesha vitu vipya vilivyoko Efm.Na unaelewa maana ya kusema Wasafi wanatembelea kivuli cha Clouds au unaongea vitu usivyovijua.Tafuta maana ta kutembelea kivuli cha....kish uje uletw udwanzi wako tena hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hata nikiorodhesha yote uliyoyahitaji still nitakachokileta tayari umekiita ni uduanzi... Huwa si argue na watu wasio na busara Kama wewe, punguza mihemko then leta hoja sio kuruka ruka na dharau za kipuuzi
 
feyzal nikueleweshe kitu kimoja"maswala mbalimbali yanamitazamo tofautitofauti ,pia kila jambo lina watu Wa pande mbili,walio upande Wa jambo hilo au wataolipinga, so siozambi kuea upande wowote, kwaiyo kutukana watu na kuingiza vyama kwenye maswala ya kutofautiana mitazamo ya kiburudani ni dalili za upumgufu Wa kitu Fulani kichwani
 
Sidhani kama ataweza kuruhusiwa Kupost Kwenye chanel yake, nasikia anakuja Media online kama Ilivyo kwa Millard na akina Dozen, nadhani uko ndo atakua anafanya interview na akina Kiba
Dozen ana Chanel yake

god is good
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom