Lil Nas x has been hospitalized for a possible overdose

Lil Nas x has been hospitalized for a possible overdose

Pole sana mkuu.... Nilimshuhudia mzee wangu akipambana na maradhi for 5 years, naelewa ugumu wake japo kwa kutizama!!
Ila usikate tamaa ndugu, naamini unamuamini Mungu..... usimkatie tamaa kabisa, siku moja atakurejeshea tumaini ndugu
D-RICH mzee wangu pia anaumwa mwaka wa tatu sasa, maisha yanaendelea kwa neema ya Mungu. Pole sana na akutie nguvu na kukuponya mkuu
 
U - Superstar mzigo wa mwiba ukiubeba unaumia. Vijana hawa wanatia huruma sana
 
Back
Top Bottom