Likud Nimeokoka

Likud Nimeokoka

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,301
Bwana Yesu apewe sifa. Leo jina la Yesu limenitendea jambo kubwa sana katika maisha yangu. Wakuu ilikuwa si mchezo.

Hapa naandika machozi yananitiririka,Ilikuwa sipo duniani jina la Yesu ndio limeniokoa yaani isingekuwa kulitaja jina Yesu sasa hivi ingekuwa bahari nyingine. Aisee ndugu zanguni Yesu yupo na anaweza. Yesu ndio jina lililo kuu kupita majina yote duniani

Kesho nikipata nafasi nitakuja kutoa ushuhuda wangu.

Thanks a lot Jesus.

Kuanzia Leo mimi na bahari za ushirikina na uchawi ndio nimezizika rasmi...

UPDATE: Wakuu msione kimya. Bado sijapata nafasi ya kutoa ushuhuda wangu. Nikipata nafasi nitakuja kushuhudia A to Z.
 
Yule aliyeanguka huko Iringa inebainika ulikua ni usanii.
Bwana Yesu apewe sifa. Leo jinai la Yesu limenitendea jambo kubwa sana katika maisha yangu. Wakuu ilikuwa si mchezo. Hapa naandika machozi yananitiririka. Ilikuwa sipo duniani. Jina la Yesu ndio limeniokoa . Aisee ndugu zanguni Yesu yupo na anaweza. Kesho nikipata nafasi nitakuja kutoa ushuhuda wangu.

Thanks a lot Jesus.

Kuanzia Leo mimi na bahari za ushirikina na uchawi ndio nimezizik rasmi...
 
Shalom mwana wa Mungu umefanya uamuzi wa busara sana kumkubali Kristo awe bwana na mwokozi wa maisha yako oooh hallelujah.
.
Sina mengi ya kuandika zaidi ya kukupa maneno ya ushindi na uzima.

Basi atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu;

Waefeso 3:20

Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Wafilipi 4:13
 
Yohana 3:5-7 ''YESU akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa ROHO, hawezi kuuingia ufalme wa MUNGU. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa ROHO ni roho. Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna budi kuzaliwa mara ya pili. ''
Hongera sana ndugu kwa kuokoka.
 
"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho." Waefeso 6:12


Mungu aliyekuwa na Daniel aambatane na wewe kwenye kila jaribu unalopitia LIKUD maana hapa umetangaza vita na shetani nasubiri ushuhuda konkiiii kutoka kwako.
 
Back
Top Bottom