Like faza like son

ulimaliza futa picha yako mrudishie phone dada yako maana namtumia sms hajibu kumbe phone unayo wewe
 
Folium teena[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Dogo anaonekana kabisa hajanyonya maziwa ya mama alivyokuwa mdogo,.... kichwa chote kimejaa makamasi
hahahahahaaaa kaiba cm ya dada yake toka mda huo namwambia amrudishie maana nampigia anapokea yeye nilituma sms hawez kifungua zina pin so nimembembeleza saana apeleke xm hatak mwisho nimekubal matokeo nasubir iishe charge tu hatoichukua tena
 
Eheheh wanaume wa jf na sura zao wanavyoamuaga kutuchamba oooh wanawake wa jf wabaya bla bla
Haya mwingime nae ajirushe,we umejitahidi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani umenichekesha,eti amejitahidi.
 
Hehehe hizo ndio sura zao tena huyo mzuri mbona,,wapo humu wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watakwambia mwanaume hasifiwi sura wakati ndio wanaozaa watoto wa kike walofanana nao mwisho wa siku hali inakuwa sio hali!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…