44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,135
- 2,139
Hii ilianza kujionesha pale bingwa wetu alipozalilishwa na Vipers, hata kitendo Cha Jana Cha kufungwa na Uganda kilidhihirisha Hilo.
Ligi ingekuwa na ubora bingwa wetu asingezalilishwa hivyo tena akiwa nyumbani.
Pia kushuka huku kwa ubora wa ligi kimechangia Taifa stars kupata wachezaj wa kiwango Cha chin mno.
Nin kifanyike ili ubora wa lig yetu urud Kwen level?
1. Rushwa kwa waamuz ikomeshwe hasa kuipendelea Yanga.
2. Wachezaj wa kigen wamezid mno
Ligi ingekuwa na ubora bingwa wetu asingezalilishwa hivyo tena akiwa nyumbani.
Pia kushuka huku kwa ubora wa ligi kimechangia Taifa stars kupata wachezaj wa kiwango Cha chin mno.
Nin kifanyike ili ubora wa lig yetu urud Kwen level?
1. Rushwa kwa waamuz ikomeshwe hasa kuipendelea Yanga.
2. Wachezaj wa kigen wamezid mno