Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,334
Ligi ya kongo ubora wake unaweza kuupima kwa vigezo gani?Nadhan ww ndo unakaza kichwa.......takwimu zimeelezea ligi bora ......but sio club bora....
Elewa mada
Ligi ya kongo ubora wake unaweza kuupima kwa vigezo gani?Nadhan ww ndo unakaza kichwa.......takwimu zimeelezea ligi bora ......but sio club bora....
Elewa mada
Huku ndiko rankings hutoka.Ngoja tuwaone kwenye mashindano ya CAF
Vigezo ni vingi ......ligi yetu ni bora kwasababu pia zifuatazwoHuku ndiko rankings hutoka.
Simba akivurunda ndio maana halisi ya ligi kuwa mbovu na kupeleka timu nne ndio itakuwa ndoto mpaka atakapopatikana mshindani mzuri.
Yanga kapata hiyo nafasi katoka round one tu kipindi amechukua makombe misimu mitatu alifanya kipi cha ziada ambacho kilipeleka angalau timu 4?
Siwaoni wakifanya maajabu kwa team ileNgoja tuwaone kwenye mashindano ya CAF
Mwaka Jana co juzi..Vigezo ni vingi ......ligi yetu ni bora kwasababu pia zifuatazwo
Ina fuatiliwa na watu weng east Africa.
Inakusanya wachezaji .....kutoka pande mbali mbali za Africa na nje ya. Africa
Mfano ....rejea ..dabi ya SIMBA NA YANGA ya mwaka juzi.....hadi rais wa CAF anakuja kuangalia
Je kafanya hivyo ndani ya muda gani, hizi data zinachukuliwa kwa muda, south hawezi kuwa juu ya misri, wala morroco na wengineo wanaofanya vizuri zaidi mashindano ya caf(champions league na confederation cup)Ingekua ....hivyo Basi South Africa wangekua no mbili ......coz wametoa tu nying kweny caf champion
Aha sawa mkuu .....nmekuelewaJe kafanya hivyo ndani ya muda gani, hizi data zinachukuliwa kwa muda, south hawezi kuwa juu ya misri, wala morroco na wengineo wanaofanya vizuri zaidi mashindano ya caf(champions league na confederation cup)
Chama la wana. Timu ya wananchi, timu ya wenye nchi na pia ndio timu yenye nchi.Ha ha ha! Hongereni Mimi nikiwa Bongo timu yangu huwa Yanga.
Respect yourself Brother / Sister, I'm not GENTAMYCINE as so many damn Fools like you think but I'm Mightier. I'm tired of you Guys okay?Chama la wana. Timu ya wananchi, timu ya wenye nchi na pia ndio timu yenye nchi.
Simba ni vijakazi tu, wakutumwa huku na kule kutuwakilisha.
GENTAMYCINE a.k.a the Mightier hujambo?
Inaonekana huyo Jamaa unatamani hata Akubokoe Ndugu au?Gentamycine.....alikuwa hatumii kingereza. ....so achana nao hao....wapotoshaji mkuu
Sawa. Hivi yuko wapi? Ninamkubali pia.Hapana mkuu ....ni mdau mkubwa wa michezo hapa jf .....ana heshima zake nyingi Sana.......coz namkubali. ni mtu wa fact Sana kuhusu soka