Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,769
- 24,197
Shirikisho la kimataifa la historia na takwimu duniani (IFFHS) limetangaza orodha ya ligi kuu bora duniani kwa mwaka 2021
Ambapo Tanzania imepanda kwa nafasi 9 kwa mwaka 2020 ambapo ilishika nafasi ya 71 na imepanda hadi nafasi ya 61 kwa ubora duniani
Kwa Africa Tanzania imeshika nafasi ya 10 na kuwa ligi pekee Bora kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati
Pongezi kwa TFF kuendelea kutupeleka nchi ya ahadi ya kisoka
Maendeleo hayana chama
Ambapo Tanzania imepanda kwa nafasi 9 kwa mwaka 2020 ambapo ilishika nafasi ya 71 na imepanda hadi nafasi ya 61 kwa ubora duniani
Kwa Africa Tanzania imeshika nafasi ya 10 na kuwa ligi pekee Bora kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati
Pongezi kwa TFF kuendelea kutupeleka nchi ya ahadi ya kisoka
Maendeleo hayana chama