ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,815
- 27,240
Nitajie team inayo toka Angola ambayo umefika robo fainali CAF champions league kama unaona ndio kigezoKutizama competition si rahisi, sababu unaweza kukuta ligi inaonekana ngumu kumbe wamekutana vilaza vitupu, muwakilishi wenu kimataifa ndio anathibitisha kama ligi ya kwenu nzuri au butu.