Tanzania yapanda ranks za FIFA. Yanga yachangia?

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
Uchambuzi

Tanzania imepanda katika ubora wa viwango vya soka vya Dunia hadi nafasi ya 123 kutoka nafasi ya 130 iliyokuwepo hapo awali.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) Tanzania imepanda kwa nafasi saba zaidi.
Kwa Afrika Tanzania ipo nafasi ya 32 katika ubora wa viwango vya soka.

Je Kutokana na Yanga kuwa msimu Bora sana kitaifa na kimataifa ( kufika fainali za michuano ya CAF) hivyo kutoa motivation Kwa timu ya taifa kuperform vizuri

Kutokana na Yanga kufanya vizuri.....hivyo pia ilitoa wachezaji wengi kuisaidia Taifa stars

NB: Je Yanga imechangia taifa stars kupanda viwango pale mjini FIFA.... ushabiki pembeni
IMG-20230628-WA0010.jpg
 
Mkuu viwango vya FIFA vinapimwa kwa Timu ya Taifa kufanya vizuri katika mashindano na Mechi za kirafiki zinazotambulika na kalenda ya Fifa
Yaaah mkuu kutokana na Yanga kufanya vizuri

Walichangia wachezaji wenye quality kubwa
 
DJ Luc tuendelee tu kumpa maua yake hii tm ni zaidi ya manyani,mwiko uendelee kukaa tu huko nyuma
Uchambuzi

Tanzania imepanda katika ubora wa viwango vya soka vya Dunia hadi nafasi ya 123 kutoka nafasi ya 130 iliyokuwepo hapo awali.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) Tanzania imepanda kwa nafasi saba zaidi.
Kwa Afrika Tanzania ipo nafasi ya 32 katika ubora wa viwango vya soka.

Je Kutokana na Yanga kuwa msimu Bora sana kitaifa na kimataifa ( kufika fainali za michuano ya CAF) hivyo kutoa motivation Kwa timu ya taifa kuperform vizuri

Kutokana na Yanga kufanya vizuri.....hivyo pia ilitoa wachezaji wengi kuisaidia Taifa stars

NB: Je Yanga imechangia taifa stars kupanda viwango pale mjini FIFA.... ushabiki pembeniView attachment 2673900
 
Rank za FIFA hazipangwi kwa kuangalia timu/vilabu bali mafanikoa ya timu ya taifa..... Buoyancy
Uchambuzi

Tanzania imepanda katika ubora wa viwango vya soka vya Dunia hadi nafasi ya 123 kutoka nafasi ya 130 iliyokuwepo hapo awali.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira Duniani (FIFA) Tanzania imepanda kwa nafasi saba zaidi.
Kwa Afrika Tanzania ipo nafasi ya 32 katika ubora wa viwango vya soka.

Je Kutokana na Yanga kuwa msimu Bora sana kitaifa na kimataifa ( kufika fainali za michuano ya CAF) hivyo kutoa motivation Kwa timu ya taifa kuperform vizuri

Kutokana na Yanga kufanya vizuri.....hivyo pia ilitoa wachezaji wengi kuisaidia Taifa stars

NB: Je Yanga imechangia taifa stars kupanda viwango pale mjini FIFA.... ushabiki pembeniView attachment 2673900
 
Back
Top Bottom