R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Kwa sasa Ligi imeisha kumetulia sana, habari za Dpworld zinakita kila kona ndio main talk ya nchi mithiri ya panya anaezurura kila kona pale paka akienda nje kupumzika kidogo.
Hili suala limewekewa pause, linakuja kuplay ligi ikianza hasa kama Yanga na Simba zitakutana hapo ngao ya jamii.
Ndio muda muafaka unaosubiriwa kuwachomekea waarabu waje waanze shughuli zao huku watu wakiwa wamelala na viatu kwa timu kufungwa ama kuwa na furaha kwa timu kushinda.
Hili suala limewekewa pause, linakuja kuplay ligi ikianza hasa kama Yanga na Simba zitakutana hapo ngao ya jamii.
Ndio muda muafaka unaosubiriwa kuwachomekea waarabu waje waanze shughuli zao huku watu wakiwa wamelala na viatu kwa timu kufungwa ama kuwa na furaha kwa timu kushinda.