Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Wanafiki wameshikia bango mechi ya simba na Ruvu...
Mkuu kutuita wanafiki hujatutendea haki. Sisi tuko hapa kutoa updates bila kujali timu gani inashinda. Simba tupieni bao uone kama hatutatoa updates. Punguza jazba, michezo ni furaha, amani na upendo: Mambo haya ndiyo kiini cha FAIR PLAY.