Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VII

Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VII

Kiukweli nimechukia Simba kupata hilo goli, wataongeaaaaaaaa. Dakika zimebaki kama 10 naa tu hata halitarudi kukamilisha sare ya wazee wa sare.
Hahahahaaaaa roho mbaya nayo uchawi.
 
Kiukweli nimechukia Simba kupata hilo goli, wataongeaaaaaaaa. Dakika zimebaki kama 10 naa tu hata halitarudi kukamilisha sare ya wazee wa sare.
Hahahahaaaaa roho mbaya nayo uchawi.

Acha washinde Mkuu, ushindi wao hauna madhara kwetu.
 
dah tatizo si simba kushinda ila ubaya okwiiiiii ndo kafungaaaaa sawa na yanga afunge jaja
 
Hatimaye Chimba tumeanza ligi. Thanks Professor Patrick Phiri.
 
SIMBA ni timu pekee ambayo haijapoteza mchezo msimu huu. Simba oyeeee!
 
Back
Top Bottom