Ya Ndanda iko idhaa gani?
Mtibwa, piga hao Simba.
Simba inabidi ikumbuke kuwa kutangulia si kufika. Hii Game lazima Apigwe au droo.
full time 2 simba 2 mtibwa..utanambia bdae
ndoto za jioni
Kaitaba vp wakuu?
Duuh, Mkuu unaamini leo kuwa mtashinda!?
Sahau mkuu leo tunagawa kibano
mikia wanaweza kubahatisha
Duh, Jamaa una Imani wewe.
Sahau mkuu leo tunagawa kibano
Azam nayo, siku hizi imekuwa kama JajaNdanda 1 Azam 0
Nyie hamna uhakika mpaka kipyenga cha mwisho kilie.
Shika adabu yako wewe!Azam nayo, siku hizi imekuwa kama Jaja