TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Manyika bado anacheza mpira?? Ana umri kama wa Miss Tanzania hakyamama!!
Anaitwa Peter Manyika Jr.
Manyika bado anacheza mpira?? Ana umri kama wa Miss Tanzania hakyamama!!
Mkuu upo jamhuri??
Mtibwa wamekosa penati. Manyika Jr. kaiokoa.
Anaitwa Peter Manyika Jr.
Mpira ni half time hapa Nangwanda-Mtwara, ndanda fc 1-0 azam
Nina wasiwasi na huyo mpiga penalt au ana elements za mikia nini!!!!Mtibwa wamekosa penati. Manyika Jr. kaiokoa.
Leo Simba tuna uhakika na ushindi kwa Mtibwa sababu ni tawi letu, tuna matawi 2 ambayo ni Mtibwa Sugar na Kagera Sugar
weldoneMtibwa wamekosa penati. Manyika Jr. kaiokoa.
Kivipi, yaani wanatoa DROO?
Ogukaya, hebu niambie mazingira ya hiyo penati.
Usijali mkuu Makoye Matale, hapa lazima azam wakalie, tuzidi kuiombea dua ndanda fc timu----Mang'ana gasalike, yabaki hivyo hivyo hadi mwisho.
Usijali mkuu Makoye Matale, hapa lazima azam wakalie, tuzidi kuiombea dua ndanda fc timu----
Penati ilikuwa halali kabisa, David Luhende kapiga lakini Manyika Jr kafanya kweli. Leo Simba inaonekana kuimarika. Kazeni uzi hadi mwisho.
Penati ilikuwa halali kabisa, David Luhende kapiga lakini Manyika Jr kafanya kweli. Leo Simba inaonekana kuimarika. Kazeni uzi hadi mwisho.
Stand United vipi tena? Wakomae, wako nyumbani.