Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VI

Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VI

Mtibwa 0-1 Simba wametangulia kama kawa. Swali ni je watazuia kabao kasichomolewe?
 
Leo Simba tuna uhakika na ushindi kwa Mtibwa sababu ni tawi letu, tuna matawi 2 ambayo ni Mtibwa Sugar na Kagera Sugar
 
Back
Top Bottom