Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
Hapa Nangwanda timu ndo zinapasha pasha kwa ari ya kushinda hasa hawa vijana wa Ndanda fc....kila la kheir timu ya kukaya ndanda fc.
Hakimbii mtu, kama kawaida Tegete 2, jaja 1.
Duh! Jamaa ana uso wa mbuzi huyo!!
Hivi wamalawi wote wako hivi jamani?kazi kwelikweli
Leo tunashinda kwa mara ya kwanzaPoleni wana simba, leo rekodi itavurugwa kidogo kwa kufungwa 2-0 na mtibwa, halafu mtaendelea na sare mechi zijazo.
Leo mikia kazi IPO
ameeen!goooooool, nangwanda azam wanapakatwa na ndanda fc..nanda 1-0 azam
goooooool, nangwanda azam wanapakatwa na ndanda fc..nanda 1-0 azam
Mpira unaanza hapa Nangwanda Mtwara, kila la kheir ndanda fc....Mtwara kuchele
Mfungaji anaitwa Massawe, waambie na wenzako waliokuwa wanatia zengwe hapa: [h=3]Kwanini hakuna timu ya mpira K'njaro wala wachezaji wenye majina ya huko?[/h]