Yaani timu ata uki ibeba aigombanii chochote saa nyingine marefa wanabeba aibu ya kujitakia. Refa anaibeba timu mwisho wake Taifa linaingia aibu ya mwakilishi wake kubeba tuzo ya ushirikina Kwa ngazi ya vilabu barani Afrika.
sawa mwaka wenu huu tambine mmalize kilakitu msimu ujao mnarudi mlikotoka kule chini kabisa matopeni.Ndo Hizo Hizo, Saiv Tupo Hapa View attachment 2265839
Phiri si amesajiriwa au??Simba wanatakiwa wavunje mkataba wa kanoute tunahitaji watu kwelikweli pale kati, halafu wasituone cc mashabiki kama watoto wadogo,ule usajili waliouhaidi viongozi wakishindo uko wapi? Waache uhuni kama ela hamna waseme tujue....inaumiza sana kwa kweli kuiona simba inakosa shape yakiuchezaji halafu kwenye usaji hakuna linalofanyika la maana uupuzi mtupu
Kwel nikikumbuka aibu ya nje ndani ya river unitedYaani timu ata uki ibeba aigombanii chochote saa nyingine marefa wanabeba aibu ya kujitakia. Refa anaibeba timu mwisho wake Taifa linaingia aibu ya mwakilishi wake kubeba tuzo ya ushirikina Kwa ngazi ya vilabu barani Afrika.
Kama vile skypesSaivi typing inaonekana LOL! na kamlio juu
Hell Nooo!!, Kama Msimu Huu Tuko Hivi, Tukisajili Msimu Ujao Itakuwaje Unadhani?, Pole Sanasawa mwaka wenu huu tambine mmalize kilakitu msimu ujao mnarudi mlikotoka kule chini kabisa matopeni.
Hii timu imekuwa kama mwanamke changudoa,kila mwenye genye anajipigiaHii timu haiko makini kabisa. Hadi KMC anatufunga kweli