Ligi Bora Duniani

Ligi Bora Duniani

rubaman

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
4,983
Reaction score
3,084
Kwa wale wenzangu wanaopenda kubwabwaja bila kutumia vigezo kujudge ligi ipi ni bora, nadhani mko njiani kutuambia Bundesliga ndo ligi bora duniani kwa sababu timu za Bayern Munich na B.Dortmund zimezicharanga Barca na Real Madrid katika Semi-fainali za UCL. Come again.
 
Kwa wale wenzangu wanaopenda kubwabwaja bila kutumia vigezo kujudge ligi ipi ni bora, nadhani mko njiani kutuambia Bundesliga ndo ligi bora duniani kwa sababu timu za Bayern Munich na B.Dortmund zimezicharanga Barca na Real Madrid katika Semi-fainali za UCL. Come again.
Kwani wewe unasemaje? Ligi bora ni ipi na kwa vigeza gani?
 
Hao ni EPL but with German/Spain in UCL it is too early to jurge. Ligi bora huzaa timu ya taifa bora hicho ndio kigezo ninachofahamu mimi.
 
Hao ni EPL but with German/Spain in UCL it is too early to jurge. Ligi bora huzaa timu ya taifa bora hicho ndio kigezo ninachofahamu mimi.
Naona umeshaanza kuwa kigeugeu baada ya timu za Spain kupewa kipigo cha aibu
 
Kwa wale wenzangu wanaopenda kubwabwaja bila kutumia vigezo kujudge ligi ipi ni bora, nadhani mko njiani kutuambia Bundesliga ndo ligi bora duniani kwa sababu timu za Bayern Munich na B.Dortmund zimezicharanga Barca na Real Madrid katika Semi-fainali za UCL. Come again.

Mkuu rubaman, Kwa kigezo chako ulichotumia wala hakina maana yoyote na inaonyesha kabisa wewe sio moenzi wa Soka la ukweli bali ni ushabiki tu, kwa vigezo vyako basi EPL ndio ligi bora, maana ilishazipeleka fainal Chelsea na Man U, na kisha Chelsea alizifunga Barca nusu fainal na kisha Bayern Fainal

mi nadhani unachanganya timu bora na ligi bora, Think think
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe unasemaje? Ligi bora ni ipi na kwa vigeza gani?

Namshangaa anawalisha watu misimamo wakati yeye mwenyewe anashindwa kubainisha ipi ligi bora na kwa vigezo gani.?

Atuchambulie kwanza vigezo vya ligi bora
 
Namshangaa anawalisha watu misimamo wakati yeye mwenyewe anashindwa kubainisha ipi ligi bora na kwa vigezo gani.?

Atuchambulie kwanza vigezo vya ligi bora
Hii mada tulijadili hapa kuna watu wakasema Laliga ni ligi bora,EPL ni ligi mbovu kisa timu za EPL zimetolewa sasa baada ya kubamizwa wameanza kubadili maneno
 
ligi bora ni ile inayopeleka timu zake uefa staji ay mabli yaani robo, nusu au fainali kwa kila msimu wa makombe ya vyama vya mpira barani mwao yaani uefa, caf, confa..
 
Usidanganyike bado ligi bora duniani ni EPL kwa kila kitu
 
Loh epl ya mwisho.? inazidiwa hata serie a kwa vigezo gani.?
Kumbe niyinyi bado wadogo ehh? italy ndio ligi bora duniani for years kabla ya kuzidiwa juzi juzi tu na la liga ligi bora duniani ilikuwa seria a halafu bundesliga halafu la liga kigezo kikuubwa ni ligi kutoa mchezaji bora wa dunia.... Ndo maana Henry alishindwa na Zidane tuzo ya mchezaji bora wa dunia na Beckham alishindwa na luis figo.... sababu ligi ya Uingereza sio bora ndo maana hawatoi mchezaji bora wa dunia..
 
Hao ni EPL but with German/Spain in UCL it is too early to jurge. Ligi bora huzaa timu ya taifa bora hicho ndio kigezo ninachofahamu mimi.

Brazil na Argentina kwa miaka mingi team zao za Taifa hujazwa na wachezaji wanaocheza Ulaya, au kwa Africa sasa hivi ni Ivory Coast.
Sasa how does that fit kwenye hicho kigezo chako?
 
Kumbe niyinyi bado wadogo ehh? italy ndio ligi bora duniani for years kabla ya kuzidiwa juzi juzi tu na la liga ligi bora duniani ilikuwa seria a halafu bundesliga halafu la liga kigezo kikuubwa ni ligi kutoa mchezaji bora wa dunia.... Ndo maana Henry alishindwa na Zidane tuzo ya mchezaji bora wa dunia na Beckham alishindwa na luis figo.... sababu ligi ya Uingereza sio bora ndo maana hawatoi mchezaji bora wa dunia..

True kabisa, sema tatizo wengi ni watoto wa juzi hata hawajui lolote.
 
Kumbe niyinyi bado wadogo ehh? italy ndio ligi bora duniani for years kabla ya kuzidiwa juzi juzi tu na la liga ligi bora duniani ilikuwa seria a halafu bundesliga halafu la liga kigezo kikuubwa ni ligi kutoa mchezaji bora wa dunia.... Ndo maana Henry alishindwa na Zidane tuzo ya mchezaji bora wa dunia na Beckham alishindwa na luis figo.... sababu ligi ya Uingereza sio bora ndo maana hawatoi mchezaji bora wa dunia..

Swadaktaa hapo kwa Seria A, ila sikujua kama ligi bora hutoa mchezaji bora wa Dunia.
 
Bado mechi hazijaisha,wametangulia hawajafika jamani,japokuwa mpk sasa Bundesliga 8 La liga 1,hatubadilishi maneno kwa miaka 5 mfululizo La liga ndio ligi bora duniani mpk leo hii tusubiri next wiki ndio tutaona,ila in Spain we trust,msije kustaajabu ya Musa kama sio ya Simba kule Zambia 1979 mbele ya Kaunda
 
Kumbe niyinyi bado wadogo ehh? italy ndio ligi bora duniani for years kabla ya kuzidiwa juzi juzi tu na la liga ligi bora duniani ilikuwa seria a halafu bundesliga halafu la liga kigezo kikuubwa ni ligi kutoa mchezaji bora wa dunia.... Ndo maana Henry alishindwa na Zidane tuzo ya mchezaji bora wa dunia na Beckham alishindwa na luis figo.... sababu ligi ya Uingereza sio bora ndo maana hawatoi mchezaji bora wa dunia..

Mkuu The Boss hata hivyo mada inahoji ipi ligi bora kwa msimu huu.?


na kama kigezo cha ligi bora ni kutoa mchezaji bora wa dunia, iweje hapo kwenye orodha yako utangulize b.liga wakati la liga ndio imetoa mchezaji bora.?

Na kama unasema serie a ndio ligi bora, unaongelea ubora upi ikiwa zaidi ya miaka 15 inapitwa na na la liga kutoa mchezaji bora wa dunia.?

mkuu nahitaji ufafanuzi wako wako wa ziada.!!
 
Last edited by a moderator:
Spain kuna Barca na Real, German kuna Bayern na Borussia wakati England kuna Liverpool,Arsenal,Chelsea Man u,Man city na Italy Kuna Juve,Milan,Inter na Roma.Timu zote hizo nilizotaja ni dominant kwenye ligi zao na zinaweza kukutana zenyewe na ukapata matokeo yoyote. Sasa hapo unaweza ukajua ni ligi gani ngumu kwa kuangalia ni timu ngapi kutoka kila nchi zenye ubavu wa kucheza na yeyote kati yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom