Lifespan ya ndege ya biashara ni miaka mingapi?

Lifespan ya ndege ya biashara ni miaka mingapi?

Ndege ya biashara inayopiga route za mbali inaweza kukaa sokoni kwa muda gani kabla haijaaribika na kusitishiwa safari?

Je, ndege utumia muda gani kurejesha gharama za manunuzi na kuanza kurealize faida?

Ndege zikikosa safari serious za kibiashara zinaweza kuharibika eneo la maegesho? Eg. Umenunua Ndege ya masafa marefu ikawa inafanya safari za muda mfupi hasa kipindi hiki cha corona.

Kama usafiri wa anga umeathiriwa na Corona, je, Bado yapo Mataifa au mashirika yanaagiza ndege mpya? Kwa Yale mashirika au mataifa ambayo yaliweka oda ya matengenezo kabla ya corona, wanaweza kuomba watengeneza ndege wasitishe utengenezaji hadi soko litakapoimarika?

Najifunza kutoka kwenu shemeji zangu na mawifi wa JF.
futa hio kauli yako ya mwisho kwanza, hili jukwaa ni la watu makini na walio serious ktk kujadili hoja, hio kauli ya mwisho inaonesha km unaleta utani jukwaani, hao shemeji na wifi zako ni kina nani?
 
Ndege ya biashara inayopiga route za mbali inaweza kukaa sokoni kwa muda gani kabla haijaaribika na kusitishiwa safari?

Je, ndege utumia muda gani kurejesha gharama za manunuzi na kuanza kurealize faida?

Ndege zikikosa safari serious za kibiashara zinaweza kuharibika eneo la maegesho? Eg. Umenunua Ndege ya masafa marefu ikawa inafanya safari za muda mfupi hasa kipindi hiki cha corona.

Kama usafiri wa anga umeathiriwa na Corona, je, Bado yapo Mataifa au mashirika yanaagiza ndege mpya? Kwa Yale mashirika au mataifa ambayo yaliweka oda ya matengenezo kabla ya corona, wanaweza kuomba watengeneza ndege wasitishe utengenezaji hadi soko litakapoimarika?

Najifunza kutoka kwenu shemeji zangu na mawifi wa JF.
Ni miaka 25 mpaka 30, kama inafanyiwa matengezo ya mara kwa mara (preventive and predictive maintenance)
 
mhhh meli ndio usiseme, hiyo liemba ina zaidi ya kalne moja huko tanganyika kigoma.

pamoja na utunzaji wetu wa mashaka.
Heri ninunue meli kama ni ivyo kuliko ndege maana mpaka kilembwekeza ataikuta....daah ukisikia chuma cha pua ndio kile
 
Back
Top Bottom