Licha ya Waziri Bashe kupiga marufuku, bado tunashuhudia utitiri wa magari ya Kigeni huku Karatu vijijini na Mang'ola Kwenye vitunguu

Semahengere

JF-Expert Member
Nov 29, 2020
1,186
1,955
Kuna kitu kinanishangaza sijaelewa bado. Waziri Bashe alikataza magari ya kigeni kuingia hadi vijijini kukusanya mazao lakini hadi sasa tunashuhudia utitiri wa magari ya kigeni huku Karatu vijijini na Mang'ola kwenye vitunguu.

Hata Raia wa kigeni huku wanakodisha mashamba wanalima wenyewe, hii imekaaje? Kauli ya Waziri ilionekana ni haina maana?

Au kuna Mamlaka inayopita kutaka kupuuzwa kwa kauli ya Waziri baada ya hapo?
 
Kuna kitu kinanishangaza sijaelewa bado. Waziri Bashe alikataza magari ya kigeni kuingia hadi vijijini kukusanya mazao Lakini hadi sasa.

Tunashuhudia utitiri wa magari ya Kigeni huku Karatu vijijini na Mang'ola Kwenye vitunguu.

Hata Raia wa Kigeni huku wanakodisha mashamba wanalima wenyewe
Hii imekaaje? Kauli ya Waziri ilionekana ni haina maana?

Au kuna Mamlaka inayopita kutaka kupuuzwa kwa kauli ya Waziri baada ya hapo?
Acha walime tupate vutunguu unataka wakae tuu kama wenyeji? Serikali inapata hela hapo! Mwambie bashe na wenzie washushe bei ya sukari
 
Nchi zenye Vita zinapenda vitunguu vyenu vyenye utomvu mkali ( vinakaa muda mrefu ).
Sudan nilikuta vitunguu wanaviita Arusha kingine Singida nilicheka Sana.

Matatizo ya mtu ndio ajira yako Mpambanaji.
 
Serikali ya Samia ni ya kwenye vyombo vya habari na mitandaoni..wanachoongea huko ikiwa ni pamoja na kusifiana ila huku kwenye uhalisia mambo ni tofauti kabisa.

Wakenya ni wepesi sana kuchungulia fursa (haswa kwa watu waliolala kama waTz).
Jana walikamata tani32 za parachichi changa zilizokuwa zinavushwa kuletwa bongo toka Kenya ili ziwekwe mhuri kwamba zimezalishwa Tanzania kisha ziuzwe ughaibuni.
Hutasikia Bashe akitoa tamko lolote kuhusiana na hilo.
 
Duh! Yaani unalalamikia magari ya kigeni kuchukua mizigo!
-wanaopakia hiyo mizigo wanapakia bure? Wanachokipata hakisogezi familia zao!?
-wanakuja na magari yamejaa mafuta hawanunuwi huko huko?
-wawapo huko,wanakula wapi? Vinywaji wanatoa wapi?
-wanaolima, ardhi wamejimilikisha,au wamekodi kwa wenyeji!
-wanaofanya kazi kwenye mashamba hayo,wanatoka wapi!?
Kuna watu wana kutu akilini aise. Sasa,kama mmekalia kubet, kazi hamtaki,mnalalamika ili iweje! Hivyo vyote vinawapa kazi wakazi wa maeneo husika,lakini mnaona bado hamfurahii kinachoendelea.
Wangekuta mnalima wangepata wapi hiyo ardhi? Badhi ya vitu mnavyovidhalau kwenu,ni dili kwa wengine. Japo hata wewe mtoa mada,bora ungewaomba konekisheni huenda kwao na wewe ukapata chako.
Punguza bangi na chuki
 
Juzi tu nimetoka kuongea jamaa yangu sumbawanga ķuhusu mashamba...yaani hata wenyeji huko wamelala mtu ana kodi shamba miaka 10 yeyw hana hara acre 2 zake wakenya wabatucheka sana....eti mtz hana hata acre10 zake ànafikiria kuja kufuga au kulima hao wstu wanelala acha tuje tuwaamshe
 
Kuna kitu kinanishangaza sijaelewa bado. Waziri Bashe alikataza magari ya kigeni kuingia hadi vijijini kukusanya mazao lakini hadi sasa tunashuhudia utitiri wa magari ya kigeni huku Karatu vijijini na Mang'ola kwenye vitunguu.

Hata Raia wa kigeni huku wanakodisha mashamba wanalima wenyewe, hii imekaaje? Kauli ya Waziri ilionekana ni haina maana?

Au kuna Mamlaka inayopita kutaka kupuuzwa kwa kauli ya Waziri baada ya hapo?
Picha ya magari hayo mkuu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi tu nimetoka kuongea jamaa yangu sumbawanga ķuhusu mashamba...yaani hata wenyeji huko wamelala mtu ana kodi shamba miaka 10 yeyw hana hara acre 2 zake wakenya wabatucheka sana....eti mtz hana hata acre10 zake ànafikiria kuja kufuga au kulima hao wstu wanelala acha tuje tuwaamshe
Wewe Mkenya?
 
Serikali ya Samia ni ya kwenye vyombo vya habari na mitandaoni..wanachoongea huko ikiwa ni pamoja na kusifiana ila huku kwenye uhalisia mambo ni tofauti kabisa.

Wakenya ni wepesi sana kuchungulia fursa (haswa kwa watu waliolala kama waTz).
Jana walikamata tani32 za parachichi changa zilizokuwa zinavushwa kuletwa bongo toka Kenya ili ziwekwe mhuri kwamba zimezalishwa Tanzania kisha ziuzwe ughaibuni.
Hutasikia Bashe akitoa tamko lolote kuhusiana na hilo.
Kwani huyo ni mtz kweli au akili iko tz lakini moyo wake uko kwao
 
Kuna kitu kinanishangaza sijaelewa bado. Waziri Bashe alikataza magari ya kigeni kuingia hadi vijijini kukusanya mazao lakini hadi sasa tunashuhudia utitiri wa magari ya kigeni huku Karatu vijijini na Mang'ola kwenye vitunguu.

Hata Raia wa kigeni huku wanakodisha mashamba wanalima wenyewe, hii imekaaje? Kauli ya Waziri ilionekana ni haina maana?

Au kuna Mamlaka inayopita kutaka kupuuzwa kwa kauli ya Waziri baada ya hapo?
Lima na wewe wageni wanunue kwako roho mbaya tu
 
Back
Top Bottom