Mnaruka ruka tu. Nchi hii ina wanamaombi makini ambao tangu mwaka umeanza wao ni kufunga, kupiga goti na kuomba usiku na mchana ili Mungu Yehova, Mungu mwenye nguvu, Baba wa Mbinguni, Yesu Kristo, Roho Mtakatifu aivushe nchi hii salama salimini. Mungu wa Utatu anajua rais tutakayempata. Tuungane kuiombea nchi yetu