Libya watu wanapigwa mnada kama ng’ombe

Libya watu wanapigwa mnada kama ng’ombe

point yako wa Africa magharibi they fit to be slaves au?
 
Chadema kwao Ndiyo furaha, utasikia wanasema bora kusiwe na amani Ila kuwe na democrasia, pumbavu zao..
Hapa Chadema imeingiaje???? hivi walioruhusu dada zetu kwenda uarabuni wanakobakwa kilasiku na waajiri wao ni CHADEMA???
 
Wabongo wavivu kusoma wepesi kucoment na wafata mkumbo mnaambiwa african migrants mnasema laana ya gadafi wengne wanaenda mbali sijui chadema vile someni kwanza alafu comments mnashindana nin kucomments
Ywanazingua sana chief
 
Du!! Mijitu imekimbilia kuwalaumu waarabu na kusema imerudi tena katika utumwa. Ivi munaelewa mada inasema nini hapo???? Mbona tunakuwa wagumu kuelewa!!!! Badala yake tunalaumu waarabu,,,,,,


Wenyewe ndiyo wametaka iwe hivyo ama kwa lugha nyingine tunasema "wametaka wenyewe kujiuza" ili waende EUROPE/ULAYA na hakuna njia nyingine ya kukatiza icpokuea only Libya,,, na sio kwamba wanauzwa kwa lazima au wanateswa. Wanazikimbia nchi zao kwa shida na tabu na kuelekea libya to europe.


Ingelikuwa waafrika wenzetu/wazungu tusinge mind ivyo. Lakini wakuwa waarabu tumemaindi mno.
 
Ujinga huu ulitengenezwa na hawa hawa Wazungu mambwa na warabu sio watu kabisa bila mkono wa chuma Libya haitawaliki...Gadaf aliwatuliza kimyaa sasa leo nchi haipo kila mtu na lake
 
Ujinga huu ulitengenezwa na hawa hawa Wazungu mambwa na warabu sio watu kabisa bila mkono wa chuma Libya haitawaliki...Gadaf aliwatuliza kimyaa sasa leo nchi haipo kila mtu na lake

Walitaka wenyewe democrasia. hiyo ndio democrasia yenyewe waliokuwa wanaitaka,,watu wanakufa ka nini. So Wanamkumbuka sana Gadafi.
 
Walitaka wenyewe democrasia. hiyo ndio democrasia yenyewe waliokuwa wanaitaka,,watu wanakufa ka nini. So Wanamkumbuka sana Gadafi.
Mbona nyinyi CCM mnaubongo kama wa panzi? Gadafi alipata kile alichostahili na sasa wananchi wa Libya wako huru na wana maisha mazuri tu ila kimbembe kipo kwenu nyinyi watu weusi ndio mnawakimbilia warabu wa Libya wawasaidie kukimbia dhiki kwenye nchi zenu za kidikteta chwala matokeo yake warabu wa Libya wamejipatia biashara safi laki 9 tu kwa mweusi mmoja.

Boresheni uchumi muone kama kuna mtu wakuhangaika kwenda kuuzwa Libya.
 
Nimesikitishwa na habari ya kuwa Libya kwa sasa kuna minada ya kuuza binadamu ambapo binadamu wanapigwa minada kama ng’ombe.
Yani imeniuma sana nchi iliyokuwa na maendeleo elimu bure, afya bure, makazi bure, umeme bure, ela ya kujikimu bure, usafiri unachangiwa nusu ya pesa na serikali leo hii imekuwa mbaya kuliko maisha pale Sudan ya Kusini.
Nimeona picha za watu wamekonda sana wakiwa wamewekwa mnadani na kuuzwa kama ng’ombe.

========



The Libyan government is to investigate allegations that African migrants are being sold as slaves at auctions.

Tens of thousands of migrants, many of them from West Africa but also Bangladesh, Somalia, Sudan and Eritrea, are being held in camps and warehouses on the Libyan coast, hoping to reach Europe.

When the warehouses become overcrowded, or if migrants are unable to pay traffickers for the boat journey towards Italy – where many are rescued by NGO-operated vessels – they are sold.

The existence of modern-day slave markets has been known for months, with testimony from the International Organisation for Migration and other humanitarian agencies, but last week CNN obtained video footage of one such auction.

In scenes reminiscent of the 19th century, when the slave trade was rife, auctioneers advertised a group of West African migrants as “big strong boys for farm work.” The auctioneers referred to the migrants in Arabic as “merchandise”.

The CNN footage showed buyers bidding for the migrants, who were sold off for as little as $400 each. One West African man told the television network: “Sure, I was sold”. Others recounted how they were beaten by their “owners” as they put to work.

Ahmed Metig, the deputy prime minister of the UN-backed Government of National Accord in Tripoli, said the allegations would be investigated.

He said he would establish a "commission to investigate these reports in order to apprehend and bring those responsible to justice.”

Alpha Conde, the president of Guinea and chairman of the African Union, where many migrants come from, called for an inquiry and prosecutions relating to what he termed a "despicable trade... from another era". The Senegalese government called the apparent slave market a "blight on the conscience of humanity".

The IOM reported the existence of slave markets in April. “The reports of ‘slave markets’ for migrants can be added to a long list of outrages [in Libya],” said Mohammed Abdiker, IOM’s head of operation and emergencies. “The situation is dire. The more IOM engages inside Libya, the more we learn that it is a vale of tears for all too many migrants.”

Migrants who are rescued at sea and brought to Italy have told how they are beaten, tortured and in some cases raped by traffickers in Libya.

Many young women end up as prostitutes on the streets of Italy, with Nigerian girls as young as 13 forced to sell themselves for as little as 10 euros (£8.90) a time, terrified into submission by gang rape and voodoo curses.

It is estimated that 80 per cent of Nigerian teenage girls and young women who make it to Italy are forced into the sex trade.

Source: Telegraph, Video by DailyMail

KAMA hii ni KWELI HAKIKA huu ni unyama mkubwa zaidi ktkt DUNIA ya Leo, Gaddafi atakumbukwa sana wa walibya,Walidanganywa ,wakamkataa Rais m wao aliyewalea kama familia ,Leo wanashindwa hata kueleza maovu wanayopata!
 
Unajua kuna kitu apa watu wanashindwa kuelewa, ..when there is demand there is supply
 
watu wanapo taka uhuru zaidi ndo mazara yake.nchi za afrika hata uziweke vipi bado watakuona mbaya,hayo ndio matokeo ya demokrasia ndo afrika wanazo taka
Wauzwao si WALIBYA
 
Wasenge wote walio shabikia kiongozi wao kunyongwa wote wtakiona cha moto
 
Back
Top Bottom