Libya watu wanapigwa mnada kama ng’ombe

Libya watu wanapigwa mnada kama ng’ombe

Wanaopigwa mnada siyo raia walibya bali ni wa cameroon, Nigeria, Gjana, Gambia n.k
Walibya ndiyo wanawauza jao ndugu zenu na wanunuaji wanawanunua kwa malengo ya kuwafanya mashoga n.k
Kwa hiyo ni halari kufanyika katika ardhi hiyo ya libya??
 
Kuna watu wanamuabudu Mwarabu kama Mungu vile. .....nakuapia akipata nafasi anakuuza kama nazi tu!
 
Walidanganywa wakamuua ghadafi Kwa dhulma, sasa leo wanachuma matunda ya dhulma yao
 
Africa kubakwa mara ya pili

Africa ni bara kubwa zaidi na lenye rasilimali za kutosha kuendesha maisha ya watu wake kama itapata viongozi makini wanaojielewa na kuielewa nini maana ya uongozi.Katika vitabu vingi vya mambo ya Public Administration wasomi wanalaumu zaidi uongozi wa Africa kuwa ni tatizo la muda mrefu zaidi na linalofanya Bara hili kuendelea kuwa hapa lilipo kimaendeleo.


Mara ya kwanza Africa ilibakwa na wageni walichukua Rasilimali watu kama nguvu kazi ana pia walichukua rasilimali nyingine na kujineemesha wao katika kitabu alichowahi kuandika msomi wa PHD mtanzania mwenye Walter Rodney How Eurpe Underdeveloped Africa anazungumzia kwamba Bank ya Baclays na kampuni ya lyoid insurence mitaji yake ilitokana na biashara hiyo haramu ya Utumwa.

Biashara hii ya Utumwa ilipigwa marufuku tarehe 25.03.1807 kupitia makubaliano yaliyowekwa kimataifa na kusainiwa kwa pamoja. Ingawaje pamoja na hilo la kuizuia biashara hiyo ya utumwa mwaka huo mwaka uliofuata bado biashara hiyo iliendelea Mwaka uliofuata kwa kificho ingawaje haikuchukua muda ilikoma kabisa kutokana na kukosa wanunuzi.

Huu mimi ninauita ubakaji mkubwa kuwahi kutokea barani Africa kwani nguvu ilitumika kuhakikisha biashara hii inafanyiaka.


Katika kipindi cha wiki mbili hizi kumekua na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao na vyombo vya habri vya kimataifa kama CNN kwamba kumekua na ushahidi kwamba Nchini libya biashara hii haramu imeanza kushamiri mpaka kufikia sehemu ambapo baadhi ya picha na video zimesambaa zikionyesha mmoja ya watumwa akiuzwa kwa dola 400 ambapo ni kama laki naneya kitanzania katika eneo ambapo lilidhihirika kwamba ni soko la watumwa huko libya.

Tayari Ufaransa imepaza sauti kuitishwa kwa kikao cha umoja wa mataifa kulizungumzia hili kwani ni kinyume cha haki za binadamu.

lakini wakati haya yakitokea ni sehemu ndogo tu ya Dunia inayozungumzia hili na sio Dunia nzima kwa maana wao wanafikiri kwamba wako salama kutokana na wao kuwa mbali na sehemu ambapo matukio hayo yametokea.

Viongozi wa Africa wanatakiwa kwa pamoja wapaze sauti kupinga huu ubakaji wa mara ya pili haraka kwa vitendo bila hivyo Africa inaweza kujikuta inarudi kwenye zama zile za utumwa na kutawaliwa.

ni muda tu ndio utakua shahidi kwenye hili na wala si vinginevyo.

hapo chini ni baadhi ya picha zikionyesha kinachoendelea hapo Libya kwenye hilo soko la kuuza watumwa.

FB_IMG_1511499932838.jpg
FB_IMG_1511500011843.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1511499937877.jpg
    FB_IMG_1511499937877.jpg
    74.7 KB · Views: 62
  • FB_IMG_1511499941913.jpg
    FB_IMG_1511499941913.jpg
    35.2 KB · Views: 59
  • FB_IMG_1511499945287.jpg
    FB_IMG_1511499945287.jpg
    30.5 KB · Views: 58
  • FB_IMG_1511499948926.jpg
    FB_IMG_1511499948926.jpg
    47.9 KB · Views: 54
  • FB_IMG_1511499952815.jpg
    FB_IMG_1511499952815.jpg
    41.6 KB · Views: 61
  • FB_IMG_1511499958988.jpg
    FB_IMG_1511499958988.jpg
    33.6 KB · Views: 59
  • FB_IMG_1511499958991.jpg
    FB_IMG_1511499958991.jpg
    33.6 KB · Views: 59
  • FB_IMG_1511499966515.jpg
    FB_IMG_1511499966515.jpg
    36.3 KB · Views: 60
  • FB_IMG_1511499969713.jpg
    FB_IMG_1511499969713.jpg
    41 KB · Views: 58
  • FB_IMG_1511499972995.jpg
    FB_IMG_1511499972995.jpg
    25.6 KB · Views: 58
  • FB_IMG_1511499976145.jpg
    FB_IMG_1511499976145.jpg
    22.8 KB · Views: 60
  • FB_IMG_1511499979585.jpg
    FB_IMG_1511499979585.jpg
    41.4 KB · Views: 59
  • FB_IMG_1511499982956.jpg
    FB_IMG_1511499982956.jpg
    35 KB · Views: 54
  • FB_IMG_1511499985873.jpg
    FB_IMG_1511499985873.jpg
    45 KB · Views: 54
  • FB_IMG_1511499989003.jpg
    FB_IMG_1511499989003.jpg
    35.8 KB · Views: 65
  • FB_IMG_1511499995261.jpg
    FB_IMG_1511499995261.jpg
    31.1 KB · Views: 74
  • FB_IMG_1511499998157.jpg
    FB_IMG_1511499998157.jpg
    57.4 KB · Views: 59
  • FB_IMG_1511500011830.jpg
    FB_IMG_1511500011830.jpg
    70.4 KB · Views: 59
Africa kubakwa mara ya pili

Africa ni bara kubwa zaidi na lenye rasilimali za kutosha kuendesha maisha ya watu wake kama itapata viongozi makini wanaojielewa na kuielewa nini maana ya uongozi.Katika vitabu vingi vya mambo ya Public Administration wasomi wanalaumu zaidi uongozi wa Africa kuwa ni tatizo la muda mrefu zaidi na linalofanya Bara hili kuendelea kuwa hapa lilipo kimaendeleo.

Mara ya kwanza Africa ilibakwa na wageni walichukua Rasilimali watu kama nguvu kazi ana pia walichukua rasilimali nyingine na kujineemesha wao katika kitabu alichowahi kuandika msomi wa PHD mtanzania mwenye Walter Rodney How Eurpe Underdeveloped Africa anazungumzia kwamba Bank ya Baclays na kampuni ya lyoid insurence mitaji yake ilitokana na biashara hiyo haramu ya Utumwa.

Biashara hii ya Utumwa ilipigwa marufuku tarehe 25.03.1807 kupitia makubaliano yaliyowekwa kimataifa na kusainiwa kwa pamoja. Ingawaje pamoja na hilo la kuizuia biashara hiyo ya utumwa mwaka huo mwaka uliofuata bado biashara hiyo iliendelea Mwaka uliofuata kwa kificho ingawaje haikuchukua muda ilikoma kabisa kutokana na kukosa wanunuzi.

Huu mimi ninauita ubakaji mkubwa kuwahi kutokea barani Africa kwani nguvu ilitumika kuhakikisha biashara hii inafanyiaka.


Katika kipindi cha wiki mbili hizi kumekua na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao na vyombo vya habri vya kimataifa kama CNN kwamba kumekua na ushahidi kwamba Nchini libya biashara hii haramu imeanza kushamiri mpaka kufikia sehemu ambapo baadhi ya picha na video zimesambaa zikionyesha mmoja ya watumwa akiuzwa kwa dola 400 ambapo ni kama laki naneya kitanzania katika eneo ambapo lilidhihirika kwamba ni soko la watumwa huko libya.

Tayari Ufaransa imepaza sauti kuitishwa kwa kikao cha umoja wa mataifa kulizungumzia hili kwani ni kinyume cha haki za binadamu.

lakini wakati haya yakitokea ni sehemu ndogo tu ya Dunia inayozungumzia hili na sio Dunia nzima kwa maana wao wanafikiri kwamba wako salama kutokana na wao kuwa mbali na sehemu ambapo matukio hayo yametokea.

Viongozi wa Africa wanatakiwa kwa pamoja wapaze sauti kupinga huu ubakaji wa mara ya pili haraka kwa vitendo bila hivyo Africa inaweza kujikuta inarudi kwenye zama zile za utumwa na kutawaliwa.

ni muda tu ndio utakua shahidi kwenye hili na wala si vinginevyo.

hapo chini ni baadhi ya picha zikionyesha kinachoendelea hapo Libya kwenye hilo soko la kuuza watumwa.

View attachment 636975 View attachment 636996
Daaah. Why always africa.
 
Suala sio viongozi wa Africa wapige kelele, la muhimu hapa ni kwa viongozi wa Africa kuboresha maisha ya watu na kuwapa watu Elimu... Ukisikia kwa sasa mwafrica anauzwa utumwani jua amejipeleka mwenyewe baada ya ugumu wa maisha huko alikotoko..
 
Suala sio viongozi wa Africa wapige kelele, la muhimu hapa ni kwa viongozi wa Africa kuboresha maisha ya watu na kuwapa watu Elimu... Ukisikia kwa sasa mwafrica anauzwa utumwani jua amejipeleka mwenyewe baada ya ugumu wa maisha huko alikotoko..
Suala ni uongozi mbovu ndio unatengeneza push factor nyingi na kufanya watu kukimbia Nchi Zao .
 
Africa kubakwa mara ya pili

Africa ni bara kubwa zaidi na lenye rasilimali za kutosha kuendesha maisha ya watu wake kama itapata viongozi makini wanaojielewa na kuielewa nini maana ya uongozi.Katika vitabu vingi vya mambo ya Public Administration wasomi wanalaumu zaidi uongozi wa Africa kuwa ni tatizo la muda mrefu zaidi na linalofanya Bara hili kuendelea kuwa hapa lilipo kimaendeleo.


Mara ya kwanza Africa ilibakwa na wageni walichukua Rasilimali watu kama nguvu kazi ana pia walichukua rasilimali nyingine na kujineemesha wao katika kitabu alichowahi kuandika msomi wa PHD mtanzania mwenye Walter Rodney How Eurpe Underdeveloped Africa anazungumzia kwamba Bank ya Baclays na kampuni ya lyoid insurence mitaji yake ilitokana na biashara hiyo haramu ya Utumwa.

Biashara hii ya Utumwa ilipigwa marufuku tarehe 25.03.1807 kupitia makubaliano yaliyowekwa kimataifa na kusainiwa kwa pamoja. Ingawaje pamoja na hilo la kuizuia biashara hiyo ya utumwa mwaka huo mwaka uliofuata bado biashara hiyo iliendelea Mwaka uliofuata kwa kificho ingawaje haikuchukua muda ilikoma kabisa kutokana na kukosa wanunuzi.

Huu mimi ninauita ubakaji mkubwa kuwahi kutokea barani Africa kwani nguvu ilitumika kuhakikisha biashara hii inafanyiaka.


Katika kipindi cha wiki mbili hizi kumekua na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao na vyombo vya habri vya kimataifa kama CNN kwamba kumekua na ushahidi kwamba Nchini libya biashara hii haramu imeanza kushamiri mpaka kufikia sehemu ambapo baadhi ya picha na video zimesambaa zikionyesha mmoja ya watumwa akiuzwa kwa dola 400 ambapo ni kama laki naneya kitanzania katika eneo ambapo lilidhihirika kwamba ni soko la watumwa huko libya.

Tayari Ufaransa imepaza sauti kuitishwa kwa kikao cha umoja wa mataifa kulizungumzia hili kwani ni kinyume cha haki za binadamu.

lakini wakati haya yakitokea ni sehemu ndogo tu ya Dunia inayozungumzia hili na sio Dunia nzima kwa maana wao wanafikiri kwamba wako salama kutokana na wao kuwa mbali na sehemu ambapo matukio hayo yametokea.

Viongozi wa Africa wanatakiwa kwa pamoja wapaze sauti kupinga huu ubakaji wa mara ya pili haraka kwa vitendo bila hivyo Africa inaweza kujikuta inarudi kwenye zama zile za utumwa na kutawaliwa.

ni muda tu ndio utakua shahidi kwenye hili na wala si vinginevyo.

hapo chini ni baadhi ya picha zikionyesha kinachoendelea hapo Libya kwenye hilo soko la kuuza watumwa.

View attachment 636975 View attachment 636996

Sorry kwa Ku quote comment yote hii.

Haya mambo yanaatokea Na Dunia inaangalia tu? Ni kweli kwenye hizo picha? Nooo nahs Ni Photoshop....... Binadam amefikia hapo? Binadam mwenye utashi wote..maarifa yote? Nooo
Gaddafi amka uone maisha watu wako walochagua.
Lkn haya yote yanafanyika......hawawez kujua hii sio sahh? Kwann roho zao zisichafuke qatoke hapo sokoni?
Nani anawapeleka?
Human right institutions ziko wapi? Libya......RIP LIBYA
 
Ninachokiona wengi hatutaki kusoma palipoandikwa kwa kiingereza. Mleta maada kaleta uzi as if ni walibya ndo wanaouzwa. Hapana. Wanaouzwa ni wale wa mataifa ya Guinea, bangladesh, somalia, Eritrea na nchi nyingine za kutoka west afrika. Wanawekwa kwenye magodown. Wakijaa kabla hawajavuka kwenda italy basi wanauzwa kwa dollar 400 kila mmoja. Lakini siyo walibya ndio wanauzwa. Libya ni corridor ya kuelekea Italy
 
Ficha upumbavu wako Wewe unaona 1m thamani kubwa kuliko Utuwako!!
Ficha utaahira wako, mbona ninyi Ficiem mnaona wananchi wa Chattle pekee ndio wa muhimu kuliko wa Tanzania nzima?
 
Back
Top Bottom