SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Mara kadhaa nimekutana na hili neno hasa katika vitabu vingi kama Cataloguing Style, sasa imenipelekea kuchambua kujua nn maana yake zaidi, nimekuta ni maktaba na kongwe nchi Marekani ambayo pia hutumiwa na Wana-Congress katika kujisomea machapisho/kufanya tafiti zinazowasaidia katika shughuli zao. Sasa akili ikaja kwenye kufikiria je hapa Tanzania maktaba zetu hali ipoje? je mjengoni Dodoma nao wana maktaba (kama ya Congress kule Unyamwezini? kwa ajili ya Waheshimiwa kupitia machapisho na kujielimisha kabla ya kutetea/kuhoji serikali?
** Maktaba yetu ya Taifa hali ipoje? Machapisho latest yapo? wanachama wanafaidikaje na huduma za humo maktaba?
** Maktaba yetu ya Taifa hali ipoje? Machapisho latest yapo? wanachama wanafaidikaje na huduma za humo maktaba?