Tyrex
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 2,432
- 5,271
Hio nexus ni ya zamani mkuu siku hizi simu za google zinaitwa pixel, ameachana na nexus.Habari wakuu!
Nimepata majanga simu zangu zimeharibika zote kwa wakati mmoja yaani zimepishana kwa masaa tu.
Infinix S2 Pro imevimba battery,Samsung J3 Prime imekata moto ghafla.Infinix nimeipeleka service center yao battery wanasema hawana nisubiri 2weeks Samsung mafundi wanasema imekufa mashine tatizo bei wanazotaka naziona kubwa bora nikanunua simu nyengine tu.
Nimeshauriwa niingie kwenye LG,kuna mdau amenishauri nitafute LG Nexus 5X wasiwasi wangu hizi simu sijawahi kuzitumia naomba kwa anayejua udhaifu au ubora wa products za LG aniambie pia kama mdau una pendekezo la simu iliyo bora zaidi ya hii nitashukuru kama utanieleza hapa.
Budget yangu ni 500K.
Mkuu CHIEF MKWAWA kama hutojali naomba uniazime muda wako ktk hili.
Asante sana mkuu ushauri huu nimeuchukua,hii Huawei Honor nimeipenda sana ila naona bei yake itakuwa mtihani kwangu,unaweza kuijua bei yake japo kwa kukisia?Hio nexus ni ya zamani mkuu siku hizi simu za google zinaitwa pixel, ameachana na nexus.
Kwa budget yako unapata midrange nzuri tu kama
-samsung galaxy j7 pro
-xiaomi redmi note 5 pro
-Huawei honor 7x
Au ukienda used way flagship za 2016 simu kama
-galaxy s7
-lg v10
-xiaomi mi 5 etc zinapatikana kwa hio bei
Huko duniani hio Huawei inauzwa kama 300,000 ile configuration ndogo ya 4gb ram na 32gb internal na inazidi kidogo ikiwa ni 64gb internal. Ila sijajua bei ya Hapa kwetuAsante sana mkuu ushauri huu nimeuchukua,hii Huawei Honor nimeipenda sana ila naona bei yake itakuwa mtihani kwangu,unaweza kuijua bei yake japo kwa kukisia?
J7 Pro wanakomaa 650,000/= kaka Kama hii Huawei itafika hata 600K nitafunga macho tu.
Shukrani sana chief!Huko duniani hio Huawei inauzwa kama 300,000 ile configuration ndogo ya 4gb ram na 32gb internal na inazidi kidogo ikiwa ni 64gb internal. Ila sijajua bei ya Hapa kwetu
Mondiale Firmware Huawei Honor 7X Smartphone 5.93 "Vue Plein Écran 2160*1080 p Octa Core 2.4 ghz Double arrière Caméra 16MP D'empreintes Digitales de la boutique en ligne | Aliexpress mobile
Huku nilipo oppo ni kama zote hela yako tu, nafikilia niwe dealer wa oppo tu. Niwe nawatumia mjini huko.Hizi Oppo kwa Bongo zinapatikana mkuu?pia bei zake zikoje maana hali kifedha siyo nzuri nafanya kwa dharura tu.
Huku nilipo oppo ni kama zote hela yako tu, nafikilia niwe dealer wa oppo tu. Niwe nawatumia mjini huko.[/QUOTE
Upo sehemu gani mkuu bado sijapata uamuzi ninunue simu gani,nisaidie pia bei zake na uimara wa hizo simu kama hutojali.
Kwa iyo budget yako ni nzuri..Habari wakuu!
Nimepata majanga simu zangu zimeharibika zote kwa wakati mmoja yaani zimepishana kwa masaa tu.
Infinix S2 Pro imevimba battery,Samsung J3 Prime imekata moto ghafla.Infinix nimeipeleka service center yao battery wanasema hawana nisubiri 2weeks Samsung mafundi wanasema imekufa mashine tatizo bei wanazotaka naziona kubwa bora nikanunua simu nyengine tu.
Nimeshauriwa niingie kwenye LG,kuna mdau amenishauri nitafute LG Nexus 5X wasiwasi wangu hizi simu sijawahi kuzitumia naomba kwa anayejua udhaifu au ubora wa products za LG aniambie pia kama mdau una pendekezo la simu iliyo bora zaidi ya hii nitashukuru kama utanieleza hapa.
Budget yangu ni 500K.
Mkuu CHIEF MKWAWA kama hutojali naomba uniazime muda wako ktk hili.
Chaji hazikai sana ni kama Samsung vile sema hivi ukiingia kwenye internet huwa zinapata moto sanaUtunzaji wake wa charge uko vipi mkuu,nime-google inaonyesha battery yake ni 2700 mAh ulivyokuwa unaitumia upande huo ilikuwaje?pia kwa pesa hiyo nitaweza kuipata kweli?
Hizi simu sio.Mm nimetumia nexus ni simu nzuri sana sema uwa zipata moto mno unaweza sema ilikuwa karibu na jiko na lg vile vile hilo ndo tatizo lao
Mkuu nimejaribu kupm ila nikagonga mwambw nina shida na weweHuko duniani hio Huawei inauzwa kama 300,000 ile configuration ndogo ya 4gb ram na 32gb internal na inazidi kidogo ikiwa ni 64gb internal. Ila sijajua bei ya Hapa kwetu
Mondiale Firmware Huawei Honor 7X Smartphone 5.93 "Vue Plein Écran 2160*1080 p Octa Core 2.4 ghz Double arrière Caméra 16MP D'empreintes Digitales de la boutique en ligne | Aliexpress mobile
Device certification?Mkuu nimejaribu kupm ila nikagonga mwambw nina shida na wewe
Hapana mkuu japo na hiyo bado sijaipatia ufumbuzi ...hii niliyonayo ndefu kidogoDevice certification?
Mkuu hio limit ya ku pm naona kama ipo kwako. Siwezi kuanzisha conversation kupitia profile yako.Hapana mkuu japo na hiyo bado sijaipatia ufumbuzi ...hii niliyonayo ndefu kidogo
Kweli mkuu nimesharekebisha nakupmMkuu hio limit ya ku pm naona kama ipo kwako. Siwezi kuanzisha conversation kupitia profile yako.
Ndio tatizo lake kubwa ni hilo la bootloop,,Nexus 5x itakufia mikononi mwako maana ina tatizo linalojulikana la bootloop kisa ya soldering mbaya wa LG.. Hii simu pamoja na LG G4 achana nazo hata mtu akiwa anauza laki
Sent using Jamii Forums mobile app