LG G2 inashindwa kusoma 3G na H+

LG G2 inashindwa kusoma 3G na H+

Iko D80220c
mkuu jaribu kutumia pc suite ya lg kwanza kucheki update.

pia jaribu kueka proxy kwenye apn proxy ya nchi kama taiwan

tumia hii 203.66.159.44 port 3128 halafu ndio cheki update
 
nimecheki cheki online inatakiwa hio registration ifanyike kwa nchi husika, pengine hio simu si ya hapa Tz. cheki version ya software kwenye about inakuwa kama hivi D80210b-SEA-xxx
3cc3840e0de49439212b76d87a66008e.jpg
 
Back
Top Bottom