Lets talk about this...........


Pole sana kufiwa na shangazi yako! Apumzike kwa amani! Kuhusu "Hospice" sina uhakika kama Tanzania zipo, na kama zipo basi huduma zake zikoje! Kwa wenzetu "Hospice" zina lengo mahsusi la kuwasaidia wagonjwa wa magonjwa sugu kama kansa kufa kwa amani, bila maumivu, bila mateso na bila mahangaiko! Wanajua kabisa wanakufa, lakini wanapata intensive care ya huduma za kimwili na kiroho hivyo hata ukiwatembelea wanakuwa na amani sana mpaka unaweza kushangaa! Ni msaada mkubwa sana kwa mgonjwa mwenyewe na hata kwa familia yake!
 

pole sana mkuu,

mie naona madaktari wawe wazi kuwaambia familia ,ndugu yenu hatapona,familia ijikite kumnunulia ndugu yao dawa za kupunguza maumivu badala ya kutafuta matibabu ya kuponesha,kuingia gharama kubwa. ila sidhani kama hao ndugu hata wakiambiwa ndugu yenu anakufa still watakubali kumuacha aende hivi hivi,ni kawaida yetu kudhani kila ugonjwa una dawa,hivyo watafight to the end.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…