KINGSLEE
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 817
- 1,020
Nafkir nikuelekeze kitu mdau.
Lima heka 3 za mpunga kwa kuanzia.
Ukihudumia vizur ni Magunia 60 then yaweke stoku kwa miezi sita gunia moja ni sh 100,000.
Hivyo ukiuza unapata 6,000,000 unaweza ukaanza ujenzi.
Altenative way.
MweI wa saba wakivuna Mpunga nunua magunia 10 ya mbegu kubwa kama una mtaji mdogo kwa sh 760,000.
Baada ya miezi sita kila gunia ni sh 100,000 hivyo kwa nagunia 10 itakuwa ni milion moja.
Iweke fixed akaunti ili msimu ujao ufanye hivyo na uongezee na mtaji mwingine hiyo itakutoa kimaisha kama utakuwa mvumilivu.
Binafsi mjmi ni Muajiriwa wa gvt nimelima hekar 10 za Mpunga msimu huu tena mbegu ndefu.
Gharama zake mpaka kuvuna ni sh 3,000,000 natarajia kuvuna kima cha chini gunia 200.
Nikiweka stoku nakuja kuuza baadae miez 8 natarajia kupata 22,000,000.
Sasa una hiari mkuu kutafakar suala hili.
Lima heka 3 za mpunga kwa kuanzia.
Ukihudumia vizur ni Magunia 60 then yaweke stoku kwa miezi sita gunia moja ni sh 100,000.
Hivyo ukiuza unapata 6,000,000 unaweza ukaanza ujenzi.
Altenative way.
MweI wa saba wakivuna Mpunga nunua magunia 10 ya mbegu kubwa kama una mtaji mdogo kwa sh 760,000.
Baada ya miezi sita kila gunia ni sh 100,000 hivyo kwa nagunia 10 itakuwa ni milion moja.
Iweke fixed akaunti ili msimu ujao ufanye hivyo na uongezee na mtaji mwingine hiyo itakutoa kimaisha kama utakuwa mvumilivu.
Binafsi mjmi ni Muajiriwa wa gvt nimelima hekar 10 za Mpunga msimu huu tena mbegu ndefu.
Gharama zake mpaka kuvuna ni sh 3,000,000 natarajia kuvuna kima cha chini gunia 200.
Nikiweka stoku nakuja kuuza baadae miez 8 natarajia kupata 22,000,000.
Sasa una hiari mkuu kutafakar suala hili.