How are you today?
Siku yako yako imeanza vizuri?
Au vibaya? Inakwendaje?
Je kuna lililokufurahisha au kukukera leo hii?
Kuna lipi ungependa ku share with us today...?
Lets socialize. . . .
Tuanzie kwako, siku ya leo kwako inaendaje?
How are you today?
Siku yako yako imeanza vizuri?
Au vibaya? Inakwendaje?
Je kuna lililokufurahisha au kukukera leo hii?
Kuna lipi ungependa ku share with us today...?
Lets socialize. . . .
Amyner,
I am doing fine
Siku yangu imeanza vizuri
Hamna aliyenifurahisha , wanakera watu wanaopaki malory hovyo hovyo barabarani asubuhi tunalazimika kupita njia za panya.
Napenda ku share good news kwamba mwaka 2012 utakuwa wa mafanikio sana kwa watu watakaofanya kazi kwa bidii :lol:
Na wewe tuambie siku yako basi
inaenda vizuri sana kichomiz... Nimeamka feeling fresh.....Sema tu I went for jogging nikakutana na mbwa wamesimama nyuma ya geti la watu wakaanza kuja upande wangu i had to see my way through the unknown bushes...mmmh!
Sio kilichonifurahisha mie pekee !
Nahitaji ku'share ambacho kitakufurahisha na wewe ama kuku'bore .
- Hivi hujafurahishwa na kusikia muda huu Mizengo anaongea na waganga ?
- Aidha huku katika House Anne Keshatujuza leo lazima kielewe waganga Vs watawala.
Hili nalo lisikufurahishe ?
- Jana Zambia kumchapa Ghana isikukonge kweli ?
- About kero leo niko rumba (bankrupt) nimechacha ! Sasa ungenitumia walau Jero au Buku, kero liniepuke.
Mie leo na nguvu
Baada ya ndugai kukubali kujadili mgomo wa madaktari
Afu na furaha zaidi
Mangi kakubali kunikopesha maharage, hadi raha.
Mie leo na nguvu
Baada ya ndugai kukubali kujadili mgomo wa madaktari
Afu na furaha zaidi
Mangi kakubali kunikopesha maharage, hadi raha.
Unaitwa MMU...Mie leo na nguvu
Baada ya ndugai kukubali kujadili mgomo wa madaktari
Afu na furaha zaidi
Mangi kakubali kunikopesha maharage, hadi raha.
Human beings are social animals.
That is what keeps them at the top of the food chain.By socialising we can harmonise our activities.
AlhamduliLLahi Ladhii ahyana baada ma amatana wa ilaykal nushur. All Praises to my creator who resurrected me after my half death(sleep) and have begun my daillies. I am fine and looking forward to a fine day. So whats UP?
Mie mzima mwaya! ...Mambo SL? Juzi we na shosti yako mrs ma2mbo mlikuwa na mashambulizi mpaka nikashindwa kukusalimu.
yaani Mau ndio Tanzania yetu hii.. Mtu una haraka zako unashtukia mtu anakuja anakuwekea kau zibe.. Mi kuna siku nlipewa jibu hilo nikabaki mdogo...
Nliambiwa "kama una haraka si ungeondoka jana.." mmh nikasema ngoja nikae kimya.
Huu mwaka wa neema eti eeh? Maana we sio wa kwanza kumsikia anasema huu mwaka utakuwa wa mafanikio...
Am gudHow are you today?
Siku yako yako imeanza vizuri?
Au vibaya? Inakwendaje?
Je kuna lililokufurahisha au kukukera leo hii?
Kuna lipi ungependa ku share with us today...?
Lets socialize. . . .
Mie mzima mwaya! ...
afu ungejua nilikuwa sijui A wala B, niliamua kumshabikia manake alikuwa na uchungu afu hana anaemsapoti lol..
Wewe wajionaje na khali mpendwa?