Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,685
- 71,548
Hello good people,mko poa?
Mie niko poa
Niko bored hapa,sina usingizi kusema nilale sasa hivi
Kazini naingia night shift na babe yuko zake job....let's chat
Kwa wale mlio kwenye mahusiano yasio sahihi kwa sababu zozote zile labda umbali,mume/mke wa mtu,dini&umri(japo hivi sio changamoto sana),uhuni wa partner wako,ugomvi wa kila siku na mengine mengi lakini deep down unajua kwamba umekamatika/umependa kweli na unajua unatakiwa kulet go...ni kwa namna/njia gani unajaribu/ulijaribu kujitoa?
Kwa waliofanikiwa kujitoa mlitumia mbinu zipi ili wengine wapate pa kuanzia
View: https://youtu.be/wfTC2o05OEw?feature=shared
Mie niko poa
Niko bored hapa,sina usingizi kusema nilale sasa hivi
Kazini naingia night shift na babe yuko zake job....let's chat
Kwa wale mlio kwenye mahusiano yasio sahihi kwa sababu zozote zile labda umbali,mume/mke wa mtu,dini&umri(japo hivi sio changamoto sana),uhuni wa partner wako,ugomvi wa kila siku na mengine mengi lakini deep down unajua kwamba umekamatika/umependa kweli na unajua unatakiwa kulet go...ni kwa namna/njia gani unajaribu/ulijaribu kujitoa?
Kwa waliofanikiwa kujitoa mlitumia mbinu zipi ili wengine wapate pa kuanzia
View: https://youtu.be/wfTC2o05OEw?feature=shared