Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,262
Reaction score
12,620
Wakuu,

Confidence ya huu uzi sina, naogopa kuandika hapa, ninatetemeka, maana hii taasisi inatisha kuliko hata amateur jihad fighters.

So I'll keep it short and sweet ila Jesuits, I'm sorry in advance. Msinitafute please.

UPADRI:
Iko hivi: Upadri ukiusomea kuna stage inafika inaitwa no return stage, in that stage unaambiwa kabisa...wait kwanza.

Quick Analogy: Kama unavyoingia Freemason, mwanzoni si wanakuambia hiki ni chama tu kama vicoba? Yani hakihusishi dini wala imani yoyote, hakina mambo ya kafara wala nini, ni kwa ajili ya kusaidia jamii kuondokana na umasikini. Lakini si ukishaingia ukazidi kuusoma na kupanda degree, kuna ile degree inafika unaambiwa sasa hapa there is no return.

Hapo ndipo utaanza kufundishwa true intention ya FM na kuhusu ibada za shetani n.k. At that stage wanakuambia ukiacha tu tunakuua.

Turudi kwenye mada sasa.

Hivyo hivyo inakuwaga upadri. Ukienda kusoma unapopanda madegree mpaka Vatican huwa kuna stage. Sasa inafika unaambiwa the true face of Catholicism na unaambiwa kabisa who is our god, our plans for this world, who are our enemies na mambo mengine kedekede. At that stage inakuwa too late huwezi tena kuacha.

Hii ipo true na ni fact kuwa huwezi kuacha upadri, hata uzini, uue, uibe unaweza ukafukuzwa kazi lakini utaendelea kukaa sehemu malumu ukichungwa na kuendelea kulipwa, lakini siyo kurudi mtaani na kuanza mishe za boda boda, hata ukirudi mtaani watakua wanakuchunga sana.

Hata ivo watakuwa wanakuamini sana mpaka wakuruhusu urudi mtaan (kama mfungwa wa nje)

Huwezi kubadili dini maana wanajua utaenda umwage siri za Vatican, personally niliambiwa hizi mambo na padri fulani alizini akataka kubadili dini wakathreat kumuua. Hii ishu baadhi ya wajuvi watakuwa wanajua ngoja niishie hapa.

JESUITS: Hii organization ipo ndani ya dini na ni far, far, far, far worse zaidi ya upadri maana kazi ya padri ni kuhakikisha anashika raia wengi kanisani lakini hawa CIA kazi yao ni kudeal na affairs za kikanisa nje ya kanisa. Hawa ndo wanakuwa marais, mashehe, wachungaji, wanasiasa, wanamziki, wafanyabiashara wakubwa n.k n.k n.k.

Hawa kukupoteza ni dakika sifuri. Kuna kiongozi wa dini fulani (kapuni) isiyo RC alifukuzwa baada ya kugundulika ni Jesuit.

Hawa ndiyo mimi nawaogopa na ninajua nimeshawakosea kwa kuvujisha siri hapo juu.

With that being said wajameni Jesuits nilikua natania tu hapo juu msichukulie serious (I'm serious)
 
I new what i was getting into..
Look now some anonymous caller is calling this time 02:54am
If i don't make it tomorrow please someone check this +27764689643
 
Nimejifunza na kuishi utawa kwa miaka 5 na kukamilisha hatua mbili muhimu... Hatua ya tatu ndio ingekuwa a point of no return! Ningeifanya ile sijui leo hii ningekuwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndo maana ukakimbilia kujua Imani za kishirikina, wewe bado Una wito Mkuu, ndo nimekuelewa SASA, ukiwa na wito unaweza ukajikuta unajaribu Mambo ambayo hayampendezi Mungu ili uweZe kuisikia sauti ya Mungu vizuri ukajikuta unarudi mdogo mdogo, tafuta muongoza na sehemu yenye kanisa la kinabii unaweza ukaanza kututabiria, na UTatumika sana na Mungu kufanya ishara na miujiza Mingo, kuleta nafsi nyingi Kwa Yesu, wewe n hazina kubwa sana na unaandaliwa vizuri sana
 
Kumbe ndo maana ukakimbilia kujua Imani za kishirikina, wewe bado Una wito Mkuu, ndo nimekuelewa SASA, ukiwa na wito unaweza ukajikuta unajaribu Mambo ambayo hayampendezi Mungu ili uweZe kuisikia sauti ya Mungu vizuri ukajikuta unarudi mdogo mdogo, tafuta muongoza na sehemu yenye kanisa la kinabii unaweza ukaanza kututabiria, na UTatumika sana na Mungu kufanya ishara na miujiza Mingo, kuleta nafsi nyingi Kwa Yesu, wewe n hazina kubwa sana na unaandaliwa vizuri sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwezi ukakweka high calling, wewe upo Safari I kuelekea kaanani, unaweza kusema upo katika chungu watengenezwa ili uje kutoa ushuhuda utakaowapa wengi Moyo, ni kama vile Yesu alivyokaa miaka 30 ndo akaanza huduma, au Paul mtume alivyokuwa mpinga Kristo mpaka bwana WA majsshi alivyomchukua, usikwepe sauti unayosikia ndani mwako
 
Nimejifunza na kuishi utawa kwa miaka 5 na kukamilisha hatua mbili muhimu... Hatua ya tatu ndio ingekuwa a point of no return! Ningeifanya ile sijui leo hii ningekuwa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa kwa zaidi ya miaka saba kwa ukaribu sana na hawa Mapadre, mabruda na masister wa kikatholic....
Aisee hawa jamaa wote wana character flan moja ambapo huwa najiuliza sana!!! Ni coincidence tu wote kua na tabia hiyo moja au ni mafundisho!!??

Ni hivi, hawa watu bhana, wanapenda sana kujifanya wakarimu, wana huruma sana kwa binadamu na wanapenda kusmile na kucheka na watu........lakin ukikaa kuwachunguza kwa umakini wa jicho na upembuzi thabiti, utagundua hawa jamaa ni wana roho mbaya mbaya na ya kikatili sijapata kuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulawitiwa mnaanza "stage" ipi? maana tunasoma kuwa 80% huko ni mashoga. Ushahidi...

nilijua utaanza Kwa kuuliza padri anakuwaje shehe?
unaweza kukuta hata Imani unayojitutumia humu umepewa na imam padri Kwa Mujibu wa Mada.
 
nilijua utaanza Kwa kuuliza padri anakuwaje shehe?
unaweza kukuta hata Imani unayojitutumia humu umepewa na imam padri Kwa Mujibu wa Mada.
Umeona swali nililouliza au hujaliona unajitutumua tu?

Kama umeliona nnakushauri kalisome t na kisha ujibu swali. Kama hujaliona nnakushauri isome post uoiyoijibu kwanza kabla hujakurupuka. Sikiliza...

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom