Let it be on record, Chadema fungua mashitaka mahakamani kwanini magereza wanakataa watu wasimuone Lisu. Heche leo kafukuzwa kama mbwa!

Let it be on record, Chadema fungua mashitaka mahakamani kwanini magereza wanakataa watu wasimuone Lisu. Heche leo kafukuzwa kama mbwa!

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,136
Reaction score
96,161
Najua hakuna mahakama. But let it be on record! Hakuna Jaji atakataa kupokea maagizo. Na hili naweza kusema with brevity kuwa hawana jinsi, nao wanatetea uhai wao!

Ni vyema mkaenda mahakamani , iwekwe record kuwa mahakama ilikataa kutoa haki!

Let it be documented rather than leaving the absurdity to go unnoticed
 
Najua hakuna mahakama. But let it be on record! Hakuna Jaji atakataa kupokea maagizo. Na hili naweza kusema with brevity kuwa hawana jinsi, nao wanatetea uhai wao!
Ni vyema mkaenda mahakamani , iwekwe record kuwa mahakama ilikataa kutoa haki!
Let it be documented rather than leaving the absurdity to go unnoticed
Naunnga mkono hoja
 
Najua hakuna mahakama. But let it be on record! Hakuna Jaji atakataa kupokea maagizo. Na hili naweza kusema with brevity kuwa hawana jinsi, nao wanatetea uhai wao!
Ni vyema mkaenda mahakamani , iwekwe record kuwa mahakama ilikataa kutoa haki!
Let it be documented rather than leaving the absurdity to go unnoticed
Huu nao ni usumbufu tu. Hawa watu jana walikuwa wote Mahakamani, sasa anamtembelea leo kwa ajili gani?? Tuache unafiki hata mke wa Tundu na watoto hawana taimu na baba yao, lakini Heche anajifanya anakereketwa sana na Lissu
 
Najua hakuna mahakama. But let it be on record! Hakuna Jaji atakataa kupokea maagizo. Na hili naweza kusema with brevity kuwa hawana jinsi, nao wanatetea uhai wao!

Ni vyema mkaenda mahakamani , iwekwe record kuwa mahakama ilikataa kutoa haki!

Let it be documented rather than leaving the absurdity to go unnoticed
vyombo vya ulinzi na usalama wamefanya kazi nzuri sana kumtimua huyo mropokaji asie na nidhamu na mtafuta kiki na public sympathy nonsense,

asiruhusiwe kamwe kukanyanga mazingira ya magereza kutafuta kiki za kijinga.
well done magereza :KasugaYeah:
 
vyombo vya ulinzi na usalama wamefanya kazi nzuri sana kumtimua huyo mropokaji asie na nidhamu na mtafuta kiki na public sympathy nonsense,

asiruhusiwe kamwe kukanyanga mazingira ya magereza kutafuta kiki za kijinga.
well done magereza :KasugaYeah:
Kazi ipo
 
Huu nao nibusumbufu tu. Hawa watu jana walikuwa wote Mahakamani, sasa anamtembelea leo kwa ajili gani?? Tuache unafiki hata mke wa Tundu na watoto hawana taimu na baba yao, lakini Heche anajifanya anakereketwa sana na Lissu
Mvuta bangi wa CCM wewe, pale mahakamani walikuwa wanaweza kuzumza issue yeyote?

Je anavunja sheria gani kwa kwenda kutembelea na kumpa mrejesho wa mambo yanayoendelea kwenye chama anachokiongoza?
 
Mvuta bangi wa CCM wewe, pale mahakamani walikuwa wanaweza kuzumza issue yeyote?

Je anavunja sheria gani kwa kwenda kutembelea na kumpa mrejesho wa mambo yanayoendelea kwenye chama anachokiongoza?
Hata Magereza pia hawezi kuongea issue yeyote kwa kuwa mahabusu / nfungwa akiitwa kukutana na mgeni wake wanaongea chini ya ulinzi wa Prison Officer
 
Hata Magereza pia hawezi kuongea issue yeyote kwa kuwa mahabusu / nfungwa akiitwa kukutana na mgeni wake wanaongea chini ya ulinzi wa Prison Officer
Kwa mazingira ya mahakamani unaweza kumpa update yeyote? Tumia ubongo kufikiria siyo kinyeo chawa
 
Back
Top Bottom