Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
sasa utakuta wameajiriwa kiholela holela hawana hata mikataba
eeenh !! hapo sasa, Hao hupenda posho,marupurupu, Tips za watalii, allowances nk, ndo maana wa swahili husema hivi "baniani mbaya lakini kiatu chake dawa" yaani hawatulizani ukimwambia njoo usaini mkataba, anatoa sababu na visisngizio kibao !!
Jembe akrika
Last edited by a moderator: