Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 245
ndo hivyo mkuu,yaani jamaa hata nikimpigia simu swali la kwanza ni kama nimepata nafasi ya usalama wa taifa au njia ya kumnasua mchumba atoke kwenye hiyo kazi
nashukuru sana nitajaribu kumshauriasidanganyike, hiyo habari ya miaka sita haina ukweli wowote. anatakiwa afikirie nje ya mduara. kufunga ndoa ni sehemu tu ya mapenzi. kwani nani hajui sheria za huko majeshini?? lakini mbona wana waume, wana wake, na wana watoto kabla ya muda waliowekewa?
na kwa taarifa zaidi ni kuwa hata weza pata kazi kama ya huyo binti kwa sababu yeye anafuata mwanamke na si kazi- hawata mkubalia. hapo ni huyo mama ndo anaona rafiki yako hafananiii kwahiyo ametumia kigezo cha kazi.
ushauri ninao weza kumpa
1. aongee na huyo dada kuwa wao wataishi kama mke na mume ila ofisini ndo mwanaume hatapata haki za mume. mama akizaa atapata haki za watoto kutoka ofisini. ndoa ofisini itatambulika baada ya hiyo miaka sita
2. akikataa anatakiwa kukubali hiyo hali, hili la kusema amesubiri siku nyingi halitakiwi ktk kuchukua maamuzi ya maisha. amesubri siku nyingi , lakini hajui ni siku ngapi zimebaki, na zina uzito gani ukilinganisha na hizo zilizopita
Ni pm tumuumbue huyu mwanaizaya, hakuna kitu kama hicho.. ama la atafute msichana mwingine. Huyu dada angekuwa anamhitaji jamaa yako huyo, basi kuna namna ingefanyika kumu-accomodate jamaa huyo. otherwise ni uzushi.ndo hivyo mkuu,yaani jamaa hata nikimpigia simu swali la kwanza ni kama nimepata nafasi ya usalama wa taifa au njia ya kumnasua mchumba atoke kwenye hiyo kazi
wikiend ilikuwa ngumu kwa rafiki yangu jamani wana mmu
Jamaa alikuwa na mchumba wake na wakati amemaliza chuo ikatokea nafasi ya usalama wa taifa na huyo dada aakapewa huo mchongo na akaenda kusoma kwa miezi kadhaa na wakiwa na mipango ya kufunga ndoa baada ya binti kurudi na walikuwa wanapendana sana.
Nyongo imeingia leo baada ya kuambiwa na wazazi wa binti kuwa taarifa walizonazo ni kuwa binti kulingana na nafasi ambayo ameandaliwa harusiwi kufunga ndoa na mtu ambaye si usalama wa taifa labda mpaka baada ya miaka sita na binti ana miaka 26 kwa sasa na mvulana ana miaka 32.
rafiki yangu amechanganyikiwa maana alimsubiri binti kwa muda mrefu na walipanga kufunga ndoa mwaka kesho 2012.
ameniomba ushauri ili kama aweze kusaka nafasi ya usalama wa taifa au aweze kumsubiri hiyo miaka 6 na kinachomuuma ni kwamba mchumba wake inabidi ajilengeshe kwa mtu yeyote ambaye ni usalama wa taifa au wamchagulie.
wana mmu huyu jamaa yuko njia panda hajui afanye nini,mpaka nimemuonea huruma.
naombeni msaada wenu wa mawazo angalau nipate kufkishia maana nimekwama!!
wikiend ilikuwa ngumu kwa rafiki yangu jamani wana mmu
Jamaa alikuwa na mchumba wake na wakati amemaliza chuo ikatokea nafasi ya usalama wa taifa na huyo dada aakapewa huo mchongo na akaenda kusoma kwa miezi kadhaa na wakiwa na mipango ya kufunga ndoa baada ya binti kurudi na walikuwa wanapendana sana.
Nyongo imeingia leo baada ya kuambiwa na wazazi wa binti kuwa taarifa walizonazo ni kuwa binti kulingana na nafasi ambayo ameandaliwa harusiwi kufunga ndoa na mtu ambaye si usalama wa taifa labda mpaka baada ya miaka sita na binti ana miaka 26 kwa sasa na mvulana ana miaka 32.
rafiki yangu amechanganyikiwa maana alimsubiri binti kwa muda mrefu na walipanga kufunga ndoa mwaka kesho 2012.
ameniomba ushauri ili kama aweze kusaka nafasi ya usalama wa taifa au aweze kumsubiri hiyo miaka 6 na kinachomuuma ni kwamba mchumba wake inabidi ajilengeshe kwa mtu yeyote ambaye ni usalama wa taifa au wamchagulie.
wana mmu huyu jamaa yuko njia panda hajui afanye nini,mpaka nimemuonea huruma.
naombeni msaada wenu wa mawazo angalau nipate kufkishia maana nimekwama!!
kwenye red hapo mkuu
Hivi jamaa amejiuliza kwa nini kaambiwa hilo na wazazi wa binti badala ya kuambiwa na binti mwenyewe maana kwa vyovyote vile mtu huwa karibu zaidi na mpenzi wake kuliko na 'wakwe watarajiwa'??!
Nikiamini kuwa wazazi hao sio usalama so hizo taarifa kama zipo ni classified wamepataje!? kwa mfano kama nao wamepewa na mtoto wao ambaye alizipokea au hata kuzisikia kitambo tu wakati akianza kozi labda akakaa nazo pekeyake kwa muda wote huo ambao jamaa yako amekuwa akisubiri, hata kama wewe utasema wako poa na wanapendana,mi naona kinyume chake, naona kuna tatizo katika mawasilliano baina yao ambalo kama ni kweli, kwenye mapenzi ndilo tatizo kubwa kuliko mengine yote coz mengine huwa ni matokeo tu ya hilo!
Labda kama kuna taarifa inapungua katika maelezo yako, vinginevyo jamaa kaliwa, asipoteze muda wake bure!