leo yamemkuta jamani!!!!!!!!!!

ndo hivyo mkuu,yaani jamaa hata nikimpigia simu swali la kwanza ni kama nimepata nafasi ya usalama wa taifa au njia ya kumnasua mchumba atoke kwenye hiyo kazi

ha haha , vijana bana. huyu jamaa anatafuta kazi ya usalama wa taifa, hakuna jipya hapo.
lakini mwambie akumbuke kuwa taifa lenyewe ni kama halipo vile , sasa huo usalama wa nini ?
 
nashukuru sana nitajaribu kumshauri
 
ha haha , vijana bana. huyu jamaa anatafuta kazi ya usalama wa taifa, hakuna jipya hapo.
lakini mwambie akumbuke kuwa taifa lenyewe ni kama halipo vile , sasa huo usalama wa nini ?
sasa sijui atanielewa,labda atacheka tu
 
kwani huyo my girlfriend wake yuko kwenye field au yuko ki-tech? Kama huwa anatoka na kwenda kwenye mission mbalimbali basi aachane naye. Nalog off
 
ndo hivyo mkuu,yaani jamaa hata nikimpigia simu swali la kwanza ni kama nimepata nafasi ya usalama wa taifa au njia ya kumnasua mchumba atoke kwenye hiyo kazi
Ni pm tumuumbue huyu mwanaizaya, hakuna kitu kama hicho.. ama la atafute msichana mwingine. Huyu dada angekuwa anamhitaji jamaa yako huyo, basi kuna namna ingefanyika kumu-accomodate jamaa huyo. otherwise ni uzushi.
 

mpe pole huyo bwana. Hakuna ukweli wowote hapo, huyo dada anamdanganya. Kwanza nafasi za usalama wa taifa ni kupeana ndugu, hawatangazi na hata ukituma maombi (write in) kamwe hautaitwa, huyo dada ana mwanaume aka mpenzi wake ndo alimpa mchongo wa kuingia. Nasema hivyo kwani nina ushahidi wa watu 5 wameoa au kuolewa na mtu wa usalama. Wanachofanya ni vetting tu. Si kuna watu wa usalama hapa jf? Mpeni ukweli, kwani siku hizi si mnajitangaza mpate maujiko? Na si mmeingia kwa jina la anko au kaka na mnafanya kazi za magamba? Huyo dada anajua huyo kaka hawezi kuingia usalama wa taifa kwani hana anko hata kama ana elimu nzuri na huyo aliyemuingiza tiss atamuwekea kauzibe, tunawajua.
 

kwenye red hapo mkuu

Hivi jamaa amejiuliza kwa nini kaambiwa hilo na wazazi wa binti badala ya kuambiwa na binti mwenyewe maana kwa vyovyote vile mtu huwa karibu zaidi na mpenzi wake kuliko na 'wakwe watarajiwa'??!
Nikiamini kuwa wazazi hao sio usalama so hizo taarifa kama zipo ni classified wamepataje!? kwa mfano kama nao wamepewa na mtoto wao ambaye alizipokea au hata kuzisikia kitambo tu wakati akianza kozi labda akakaa nazo pekeyake kwa muda wote huo ambao jamaa yako amekuwa akisubiri, hata kama wewe utasema wako poa na wanapendana,mi naona kinyume chake, naona kuna tatizo katika mawasilliano baina yao ambalo kama ni kweli, kwenye mapenzi ndilo tatizo kubwa kuliko mengine yote coz mengine huwa ni matokeo tu ya hilo!
Labda kama kuna taarifa inapungua katika maelezo yako, vinginevyo jamaa kaliwa, asipoteze muda wake bure!
 
Ampige mimba kama isipoingia atajua kuwa kweli huyo ni usalama wa taifa la magamba,
ikiingia huyo si usalama wa taifa.
 
Umemaliza! Hawa hata usalama wa whatever uliwaruhusu kuoana inaidi rruksa ya kuazaa wapewe na wazazi. Isisahau ratoiba ya mechi inabidi wazazi wa mdada wahusike!
 
Mwambie huyo rafiki yako asijisononeshe! Ndio thawabu ya kujionyesha kwa mwanamke umezimia sana hata pumzi huwezi kuvuta bila yeye! Kama wengi walivo sema huyo si riziki na ashukuru mungu imetokea sasa hivi kabla hajamuoa! Angemuingizia machungu ya ajabu! Sasa hivi mwambie avute pumzi ndeeeeeefu, halafu asonge mbele, atafute ki-mwana kingine fresh kilicho wazi kwake! Wataishi na atashukuru mungu alimwacha 'the so called mwanafunzi usala wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…