Leo wivu umenicost

Leo wivu umenicost

Hahahahahaha lol!!!! Imekula kwako!!! Huna pesa halafu unamtumia shemejio nusu laki!!! Ungama tu na uwe mkweli kabla wife hajaanza kukudhania vibaya.
 
Ulichokosea ni kuweka kiasi kidogo kwenye kutest.

Huwa tunaweka kuanzia 30,000,000 ambayo tunajua its imposible kuwepo kwenye account.
 
Jamani kujaribu jina ni nani ndo uweke kiwango chote hicho? Halafu jina huwa linakuja kabla hata ya kukubalikutuma! Walakini..ila pole haha
 
Hahaaaaa!!! 50,000 ileeeee tena imeenda na imani ya mkeo kwako ikakuachia na msala wa kuhisiwa unamshawishi shemejio na vijisenti!
Jina si unaletewa kabla hujaingiza namba ya siri? Wewe yalikusibu yapi ku confirm kutuma wakati hukuwa na nia?
Next time utajiuliza mara mbili kabla ya kumdhania vibaya mkeo.
Hilo ushalikoroga fanya tu ulinywe best,wa kiranga haliliwi!!!
 
Nawe unaamini kuwa umemaliza uchunguzi wako iko kuna swali la kujiuliza hapi iweje namba mkeo asiisave na akipigiwa aifute fasta kuna mawili
1) kuna lijamaa likula mzigo kilaini lakini limesajili line kwa jina la shemeji yako
2) mdogo wa mkeo anashirikiana kumchepusha dadaake.
WAJINGA NDO WALIWAO

Hebu kuweni na huruma na huyu jamaa ujue amepoteza hela kizembe hivyo na bado unamtia wazimu kwamba anaibiwa aise tunaweza tukampoteza huyu jamaa
 
sasa nilishamwambia bi mkubwa sina hela, wakati jana tu kaniomba.

na nyie mkomage kusema uongo, sasa kwa nn ulimwambia wife huna hela wakati unayo? anyway we mwambie tu ukweli mana ukianza kusema tena uongo utajiumauma hadi ulete hisia zingine kitu ambacho sio kizuri
 
kuna sababu gani ya kufuta namba kila baada ya kupigiwa jiulize
 
aisee, mtumie my wife wako mara 3 ya hiyo.....
 
Huwa namwamini sana wife,,,pia sinaga haya mambo ya kiswahili ya wivuwivu, sema leo sijui hata pepo gani lilinijia...,yani mpaka mda huu, mjengoni bado pachungu.

Sema leo tu nimeamka na nuksi..kwanza usiku nimeota ndoto mbayambayaaa,, halaf asubuh nikagonga limmbwa.
 
 
Last edited by a moderator:
acha denti ajichane chips kuku, au unataka kumdai?
 
kwenye kuthibitisha ilikuja namba tu, then nilivyo bonyeza 'ok' ndo nikapata sms yenye jina sasa.

Ni kweli m-pesa wakati mwingine jina hutokea baada ya kutuma. Wakati mwingine utume kiasi kidogo kwa jaribio kams hilo. Pole, halafu mweleze ukweli my wife wako la sivyo utaanzisha hisia potofu kwake
 
Hebu kuweni na huruma na huyu jamaa ujue amepoteza hela kizembe hivyo na bado unamtia wazimu kwamba anaibiwa aise tunaweza tukampoteza huyu jamaa

Kweli mkuu. Anahitaji faraja na ushauri
 
Duuh! Hahaha pole, nyorosha maelezo. Halafu uwe unatumia hela mashemeji zako na wakwe ili ukituma hela wasishtuke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom