Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,888
- 67,343
- Thread starter
- #141
Ata visipo iva ilia abalance 😂😂Jitahidi tu ubalance chumvi, sukari na mafuta 😅😅😅
Ata visipo iva ilia abalance 😂😂Jitahidi tu ubalance chumvi, sukari na mafuta 😅😅😅
Nataka vuguvugu 😅au JotoridiAaa acha bc
Nitalupashia nikurequest boltNataka vuguvugu 😅au Jotoridi
Dogo sitanii mi kupika zero, zaidi ya kuchemsha maji ya kuoga huko kwingine ni vichekesho ujue 😹😹😹Shida umesoma bweni na ulikuwa mgomvi 😂😂
😅😅😅Ata visipo iva ilia abalance 😂😂
Nyie mnatongozona na bundle langu 😹Mimi muoga wa vitu vya moto 😅
Twende basi tukale mishkaki 😜Nyie mnatongozona na bundle langu 😹
Kaza basi unacheka cheka nini? Unatongozaje hivyo Mwachi mdogo wangu 😹😹Aaa acha bc
Sawa imeisha iyo juma mosi nitafanya ivyo uwe liveDogo sitanii mi kupika zero, zaidi ya kuchemsha maji ya kuoga huko kwingine ni vichekesho ujue 😹😹😹
Pika pilau weekend kwaajili yangu nijifunze..!!
Dah poleNyie mnatongozona na bundle langu 😹
Au sio poaKaza basi unacheka cheka nini? Unatongozaje hivyo Mwachi mdogo wangu 😹😹
Ulitakiwa umuulize yuko wapi umpelekee catress.. wee unamwambia aje kwa akili zako atakuja?? Akila nauli uanze kuleta uzi wa malalamiko hapa 😹😹Embu nieleke inaombwaje ase we kichwa kibovu 😂😂😂😂
Ase 🫡 we kibokoUlitakiwa umuulize yuko wapi umpelekee catress.. wee unamwambia aje kwa akili zako atakuja?? Akila nauli uanze kuleta uzi wa malalamiko hapa 😹😹
Zime kaa poa sanaNami nilizipika majuzi
Katles nyama inawekwa katikati kama alivyoweka mtoa mada. Kwa jinsi ninavyojua mimi pia ila kama unavyojua mapishi yapo ya aina mbalimbali.Kwa ninavyojua mimi hiyo nyama ungeichanganya kama ulivyofanya kwenye viungo na sio kuiweka katikati.
Hata hivyo umetisha, mwanaume kupika namna hiyo sio salama sana.
😹😹😹 hiyo chumvi niliwahi kuzidisha wee palikucha na vile ana gubu, aliongea km kameza flash..!! 🤣Jitahidi tu ubalance chumvi, sukari na mafuta 😅😅😅
Ni tamu ila zinawah kukifuZime kaa poa sana