Leo tena Yesu amenitendea muujiza mkubwa!

Leo tena Yesu amenitendea muujiza mkubwa!

Yesu ni zaidi ya psychiatrists. Psychiatrists wanakufa na kuoza. Yesu alikufa akafufuka. Yuko hai hata leo. Anaendelea kutenda miujiza kwa kila aaminiye.
Bibi harusi umeolewa na Bwana Yesu ni kweli?
 
Nikaweka mkono sehemu hiyo na kuikemea hali hiyo kwa Jina la Yesu.
Namimi nimeweka mkono kwenye suruali nikasema Yesu jaza mapesa nashangaa hajafanya miujiza ya kujaza mapesa.
 
Msahau kwao ni mtumwa. Wewe ukienda nyumbani kwenu kisha ukawaaga, huwa hurudi tena?
Kwamba ww hapa ni nyumbani na melo asemeje ww huna bwana ndo maana unahangaika tu humu jamvini hapo ukute ushatoa mimba kma 10 🤣🤣
 
Tangazo limekaa kimkakati sana hili..usijali watajaa huko inbox
 
Bibi harusi umeolewa na Bwana Yesu ni kweli?
Arusi bado. Nasubiri arusi. Nilitoa hapa mwaliko wa arusi. Kama wakati huo ulikuwa bado hujajiunga na JF, hujachelewa. Mwaliko bado hauja-expire. Karibu sana kwenye arusi.
 
Arusi bado. Nasubiri arusi. Nilitoa hapa mwaliko wa arusi. Kama wakati huo ulikuwa bado hujajiunga na JF, hujachelewa. Mwaliko bado hauja-expire. Karibu sana kwenye arusi.
Harusi mkuu sio arusi minyoo hao wanasumbua
 
Soon na wewe utajaza gesi Kwa matraaaqooo
 
Tafadhali fafanua vizuri situation yako. Sijaelewa unaposema huhitajiki kuzimu na mbinguni??!!
My situation is very complicated...it's hard to explain I wonder if Your Jesus is aware of it....Hell on earth!!
 
Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;

[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
 
Marko 16:17-18
[17]Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;

[18]watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.
Ameen. Umejionea hayo maishani mwako pia?
 
Mungu ni dhahiri kuliko nyumba
Ubarikiwe sana mpendwa kwa kutambua hilo.
Ingependeza pia ukishuhudia huo udhahiri uliouona ili wasioamini kwamba Yesu anatenda miujiza hata leo wapate kuamini. Watu wengi ni kina Tomaso, mpaka waguse ndio wanaamini.
 
Back
Top Bottom