Yaan Leo nimezunguka Kariakoo, mwenge, Tabata, magomeni, maeneo ya chuo natafuta umeme nikamilishe ishu flani hivi lakini kooote huko holaa.., Tanesco wamenitesa na kunitia hasara kubwa Sana Leo.., nafanya mawasiliano na mwanasheria kwa ushauri zaidi
Nakumbuka Nigeria chama tawala walipohisi kupigwa chini na wananchi baada yakuchoshwa na ufisadi wa chama hicho mafuta yalianza kuwa adimu nchini humo, hiyo ikawa kama juu ya kidonda msumari wa moto, wananchi wakamalizia hasira zao kwenye sanduku la kura.......
Nyie subirini, mwaka huu jua litachomozea Magharibi
Yaani umeme nchi hii imekuwa kama vile tunapewa hisani tu na sio haki yetu.Na ndio maana umeme ukirudi tu utasikia "huooooooo"kwa kuwa tunahisi ni kama zawadi tu ambayo tunastahili kupewa au kutokupewa.