Nimeipenda sana hii muungwana[/QUOTE/]
KARIBU MKUU!
SOURCE? Anyway--whatever the source of information. Happy birthday handsome!
And then, on this very special day to you, this Highlander wants you to Know many of us Tanzanians love you very much--because you are one of us; and that when we say bad things about you, we do it NOT out of hate, but out of love of our nation. We want you to run this country as we want it run!
Happy Birthday JK
Raisi wangu mpendwa nakutakia kila laheri katika siku hii ya leo.i wishing you a long life but short life in your administration
Happy birthday baba rz1!. Long live uishuhudie ukombozi wa pili wa kweli wa mtanzania 2015 kupitia ama kwa mshirika wako el au kijana wako membe!..
ndio mana tunasema kazi yake kubwa ni kupora wake za watu,mambo ya uongozi wa nchi amwachie kikwete na ccm.hata wewe mkeo atamegwa tu na babu we endelea kujishebedua hapo
Ni kweli nakubaliana na wewe! cha msingi adui yako mwombee njaa kuliko kifo. Rais wangu JK nakuombea maisha marefu ili uone mabadiliko ya nchi hii yatakavyo kuja baada ya 2015. Naomba hata kipande cha keki.......MKUU PASCO,S i vyema kumuombea mwenzako kifo, I agree, lakini ni wangapi waliokufa either kwa maagizo yao kwa udhaifu wao wa kushindwa kuwajibishana kwa manufaa ya UMMA?
mohamedi t mbona mdomo wako eumekuwa mchafu hivyo utadhani si mtoto wa binadamu?ndio mana tunasema kazi yake kubwa ni kupora wake za watu,mambo ya uongozi wa nchi amwachie kikwete na ccm.hata wewe mkeo atamegwa tu na babu we endelea kujishebedua hapo