Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Raisi wangu mpendwa nakutakia kila laheri katika siku hii ya leo.i wishing you a long life but short life in your administration
Raisi wangu mpendwa
nakutakia kila laheri katika siku hii ya leo.i wishing you a long life
but short life in your administration
Katimiza miaka mingapi Rais wetu kijana na "handsome"? Kama bado unabembea Canada kwenye mikokoteni inayovutwa na farasi basi nakutakia sikukuu njema huko uliko. Uwe na maisha marefu, ukoo wako bado unakuhitaji!Raisi wangu mpendwa nakutakia kila laheri katika siku hii ya leo.i wishing you a long life but short life in your administration
Raisi wangu mpendwa nakutakia kila laheri katika siku hii ya leo.i wishing you a long life but short life in your administration
Nidhani tabia za canibalism, barbarianism na ma Vampire don't exist any more!, comment kama hii ni uthibitisho wa kiukweli kuwa hawa ma canibals, barbarics na vampires bado wapo!. Afadhali ukichaa wa kuokota makopo kuliko "death prophets!.
HAPPY BIRTHDAY BABA RZ1!. LONG LIVE UISHUHUDIE UKOMBOZI WA PILI WA KWELI WA MTANZANIA 2015 KUPITIA AMA KWA MSHIRIKA WAKO EL AU KIJANA WAKO MEMBE!..