kamanda wa mara
Member
- Oct 9, 2017
- 23
- 48
MBONA wameshika tamaa waje tuwafundishe kubeba zege maisha yasonge,au kuuza machungwa town tunalaza 30 kwa siku grisi inapatikanaUnaweza usielewe:
LEO nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. Nikamuuliza eti dada unavijua VISA vya wanawake?? Akajibu kaka niache.
Nikakomaa anijibu… Badala ya kujibu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja.
Dada huyo alivyoona wanakuja akajimwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu, nikajuta sana kutaka kujua kila kitu.
Wananchi wenye hasira walivyofika, wakamwuliza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amenisaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka.
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke. Anaweza kukuua au kukulinda! So mheshimu mwanamke hata kinafiki, usijifanye jeuri!!!..
Nikaondoka na funzo langu…… Shikamoo wanawake!View attachment 941940
Hahahahahaha mkuu acha kutuua mbavu banaKwahiyo hao pichani ndio wanawake wenyewe?
Sisi hatuogopi hao ,tulisha dai Uhuru wetu toka zaman ,kwetu tunazaliwa tukiwa tumefuzu mafunzo ya tpdfNilidhani umekoswakoswa na wale jamaa waliopewa dili ya kununua korosho katika jitihada za kuiba korosho kwenye ile ajali
Huu ni uchokozi kabisaaaaaa.Unaweza usielewe:
LEO nimepita kisimani nikamkuta dada mmmoja akifua. Nikamuuliza eti dada unavijua VISA vya wanawake?? Akajibu kaka niache.
Nikakomaa anijibu… Badala ya kujibu akaanza kupiga mayowe, na kelele za kuomba msaada.. hadi wananchi wenye mapanga, mawe na mishale wakaanza kuja.
Dada huyo alivyoona wanakuja akajimwagia maji mwili mzima. Nikajua leo ndio mwisho wangu, nikajuta sana kutaka kujua kila kitu.
Wananchi wenye hasira walivyofika, wakamwuliza, kuna nini? Akawajibu, nilidumbukia kwenye kisima na huyu kaka ndie amenisaidia!!
Wakanipongeza sana sana kisha wakaondoka.
Yule dada akaniambia, hivyo ndivyo visa vya mwanamke. Anaweza kukuua au kukulinda! So mheshimu mwanamke hata kinafiki, usijifanye jeuri!!!..
Nikaondoka na funzo langu…… Shikamoo wanawake!View attachment 941940